Kamati ya Profesa Osoro na uelewa wa Multinational Corporations

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,099
Nimeshangaa ile kamati ya pili iliyosheheni walimu wa chuo kikuu wameshindwa kutofautisha ACCACIA kama brand name iliyosajiliwa huko nje ikiwa na sub contract na Bulyanhulu Gold mine Tanzania.

Cha kusikitisha kwenye ile kamati alikuwepo mtu wa TRA tena afisa mwandamizi anayejua kodi hawakusanyi kwa jina la ACCACIA kama brand name bali wanakusanya kama Bulyanhulu Gold mine.

Kwa ufupi nina mashaka na uelewa wa huyu Profesa anayefundisha mambo ya Oligopolistic competition huko chuo kikuu,Kamati imemdanganya Raisi kweupe kuwa ACCACIA as brand name inafanya kazi kinyume cha sheria,

Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini
 
Nimeshangaa ile kamati ya pili iliyosheheni walimu wa chuo kikuu wameshindwa kutofautisha ACCACIA kama brand name iliyosajiliwa huko nje ikiwa na sub contract na Bulyanhulu Gold mine Tanzania.

Cha kusikitisha kwenye ile kamati alikuwepo mtu wa TRA tena afisa mwandamizi anayejua kodi hawakusanyi kwa jina la ACCACIA kama brand name bali wanakusanya kama Bulyanhulu Gold mine.

Kwa ufupi nina mashaka na uelewa wa huyu Profesa anayefundisha mambo ya Oligopolistic competition huko chuo kikuu,Kamati imemdanganya Raisi kweupe kuwa ACCACIA as brand name inafanya kazi kinyume cha sheria,

Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini
Ebu toa shule zaidi. Umeminya wengine sio economists, haya mambo ya sub contractor / contractor we are not conversant
 
Ndio maana hawataki kwenda mahakamani,wanaunda tume halafu wanatulia,sasa sijui kama tunadai tunalipwaje

Mahakamani nadhani mawakili wa acacia watakuwa wanakesha wanakunywa whisky,haina haja ya maandalizi

Sitashangaa mawakili wa acacia wakimwambia jaji aendelee na kesi kwa kusikiliza Maelezo ya serikali wao wanaenda Kuvuta sigara kidogo nje,ni kesi rahisi mno,unaweza kutoka nje ukalala kidogo huku shahidi wa serikali akiendelea kutoa ushahidi,sababu kwa aina hii ya ushahidi,hata acacia wakiweka sanamu au jiwe,wanashinda tu
 
Hebu fafanua kidogo mkuu kuhusu hiyo brand name Vs kampuni. Au ni sawa na iundwe tume kuchunguza kinywaji cha Coca-Cola kutolipiwa kodi halafu mwisho wa siku waseme Coca-Cola haijasajiliwa nchini? Kumbe kodi ilikuwa inalipwa through Kwanza Bottlers Ltd? Sijaelewa, hebu fafanua.
 
Hebu fafanua kidogo mkuu kuhusu hiyo brand name Vs kampuni. Au ni sawa na iundwe tume kuchunguza kinywaji cha Coca-Cola kutolipiwa kodi halafu mwisho wa siku waseme Coca-Cola haijasiliwa nchini? Kumbe kodi ilikuwa inalipwa through Kwanza Bottlers Ltd? Sijaelewa, hebu fafanua.
Nimeuliza kama wewe hapo juu, nami sijaelewa
 
Nimeshangaa ile kamati ya pili iliyosheheni walimu wa chuo kikuu wameshindwa kutofautisha ACCACIA kama brand name iliyosajiliwa huko nje ikiwa na sub contract na Bulyanhulu Gold mine Tanzania.

Cha kusikitisha kwenye ile kamati alikuwepo mtu wa TRA tena afisa mwandamizi anayejua kodi hawakusanyi kwa jina la ACCACIA kama brand name bali wanakusanya kama Bulyanhulu Gold mine.

Kwa ufupi nina mashaka na uelewa wa huyu Profesa anayefundisha mambo ya Oligopolistic competition huko chuo kikuu,Kamati imemdanganya Raisi kweupe kuwa ACCACIA as brand name inafanya kazi kinyume cha sheria,

Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini

Kila ninaposemaga Tanzania ni taifa LA wajinga huwaga hamuelewi
 
Sidhani kama neno subcontracting ni sahihi Labda neno holding.
Sina maarifa sana hapo tunahitaji elimu zaidi....
Je ni ujanjaujanja wa acacia au ni kutokuelewa kwa wataalam wetu.
Angesema mwanasiasa hayo tungekaa kimya ila kwa sababu ni wataalam Tunaomba ufafanuzi wa kitaalam zaidi maana wenda Kuna maarifa tunapungukiwa wengine.
 
Sidhani kama neno subcontracting ni sahihi Labda neno holding.
Sina maarifa sana hapo tunahitaji elimu zaidi....
Je ni ujanjaujanja wa acacia au ni kutokuelewa kwa wataalam wetu.
Angesema mwanasiasa hayo tungekaa kimya ila kwa sababu ni wataalam Tunaomba ufafanuzi wa kitaalam zaidi maana wenda Kuna maarifa tunapungukiwa wengine.

Huna maarifa kweli na hujui na hutakaa ujue kwa kuwa wewe ni mshabiki

Holding company ni parent coy

Subcontracting company ni subsidiary coy

Siwatetei hawa wawekezaji ila majibu ya hizo kamati sio ya kuaminika vitu vingi ni vyakufikirika
 
Sidhani kama neno subcontracting ni sahihi Labda neno holding.
Sina maarifa sana hapo tunahitaji elimu zaidi....
Je ni ujanjaujanja wa acacia au ni kutokuelewa kwa wataalam wetu.
Angesema mwanasiasa hayo tungekaa kimya ila kwa sababu ni wataalam Tunaomba ufafanuzi wa kitaalam zaidi maana wenda Kuna maarifa tunapungukiwa wengine.

Tanzania hakuna wataalamu

Kuna wakremishaji na wengi wao wanakimbila kwenye siasa na ndio inayo didimiza iyo nchi

Suluhisho ni katiba Mpya ile ya warioba hakuna mengine
 
Nimeshangaa ile kamati ya pili iliyosheheni walimu wa chuo kikuu wameshindwa kutofautisha ACCACIA kama brand name iliyosajiliwa huko nje ikiwa na sub contract na Bulyanhulu Gold mine Tanzania.

Cha kusikitisha kwenye ile kamati alikuwepo mtu wa TRA tena afisa mwandamizi anayejua kodi hawakusanyi kwa jina la ACCACIA kama brand name bali wanakusanya kama Bulyanhulu Gold mine.

Kwa ufupi nina mashaka na uelewa wa huyu Profesa anayefundisha mambo ya Oligopolistic competition huko chuo kikuu,Kamati imemdanganya Raisi kweupe kuwa ACCACIA as brand name inafanya kazi kinyume cha sheria,

Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini
Kwa nini Acacia walikuwa wanahangaika kutafuta usajili Brela baada ya sakata hili kuanza?...Unaujua usajili wa Awali wa Acacia kwenye soko la LSE?

Muone zitto akuvushe mto Mara
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Hebu fafanua kidogo mkuu kuhusu hiyo brand name Vs kampuni. Au ni sawa na iundwe tume kuchunguza kinywaji cha Coca-Cola kutolipiwa kodi halafu mwisho wa siku waseme Coca-Cola haijasiliwa nchini? Kumbe kodi ilikuwa inalipwa through Kwanza Bottlers Ltd? Sijaelewa, hebu fafanua.
Kwa mfano wako wa COCA-COLA nadhani anamaanisha kwamba, COCA-COLA ni brand name, lakini wana Products zingine nyingi tofauti na na kinywaji chenyewe cha COCA-COLA, mfano FANTA zingine
 
Profesa ameshindwa kuelewa ACCACIA sio kampuni bali wanafanya kazi na sub contractors kama Bulyanhulu Gold mine na zingine nyingi zilizopo huko mgodini
Basi tuseme tu serikali ilikuwa inafanya biashara na mti.
acacia_africana500.jpg
 
Back
Top Bottom