Kamati ya POAC chini ya Zitto mwaka 2010 iliwahi pendekeza mkataba wa TBC na Star times upitiwe upya

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Ifuatayo ni sehemu ndogo ya hotuba ya aliekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Mashirika ya Umma(POAC), Zitto kabwe aliyowahi itoa Bungeni mwaka 2010.

7.2.10 Mheshimiwa Spika
, kwa kuwa Mkataba baina ya Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC) na Star Times International Communication una mapungufu kadhaa ya kisheria na ambayo yamebainishwa na Mkaguzi wa Hesabu wa TBC baada ya kuchambua Mkataba na Taarifa ya Hoja za Ukaguzi,na kwa kuwa mapungufu hayo yanaweza kuwa na athari katika utendaji wa TBC kwa siku zijazo , kwa hiyo basi Kamati inapendekeza kuwa, Serikali iupitie upya Mkataba huo ili kuainisha maeneo ya maboresho, aidha Serikali ifanye utaratibu wa kuangalia namna nzuri ya kutoa fedha kwa uendeshaji wa TBC ili kiwe chombo cha utangazaji wa Umma chenye kujiendesha.
 
Ifuatayo ni sehemu ndogo ya hotuba ya aliekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Mashirika ya Umma(POAC), Zitto kabwe aliyowahi itoa Bungeni mwaka 2010.

7.2.10 Mheshimiwa Spika
, kwa kuwa Mkataba baina ya Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC) na Star Times International Communication una mapungufu kadhaa ya kisheria na ambayo yamebainishwa na Mkaguzi wa Hesabu wa TBC baada ya kuchambua Mkataba na Taarifa ya Hoja za Ukaguzi,na kwa kuwa mapungufu hayo yanaweza kuwa na athari katika utendaji wa TBC kwa siku zijazo , kwa hiyo basi Kamati inapendekeza kuwa, Serikali iupitie upya Mkataba huo ili kuainisha maeneo ya maboresho, aidha Serikali ifanye utaratibu wa kuangalia namna nzuri ya kutoa fedha kwa uendeshaji wa TBC ili kiwe chombo cha utangazaji wa Umma chenye kujiendesha.
Zitto Huyu Huyu msaliti?
 
Ifuatayo ni sehemu ndogo ya hotuba ya aliekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Mashirika ya Umma(POAC), Zitto kabwe aliyowahi itoa Bungeni mwaka 2010.

7.2.10 Mheshimiwa Spika
, kwa kuwa Mkataba baina ya Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC) na Star Times International Communication una mapungufu kadhaa ya kisheria na ambayo yamebainishwa na Mkaguzi wa Hesabu wa TBC baada ya kuchambua Mkataba na Taarifa ya Hoja za Ukaguzi,na kwa kuwa mapungufu hayo yanaweza kuwa na athari katika utendaji wa TBC kwa siku zijazo , kwa hiyo basi Kamati inapendekeza kuwa, Serikali iupitie upya Mkataba huo ili kuainisha maeneo ya maboresho, aidha Serikali ifanye utaratibu wa kuangalia namna nzuri ya kutoa fedha kwa uendeshaji wa TBC ili kiwe chombo cha utangazaji wa Umma chenye kujiendesha.
kwa hiyo Rais ana tekeleza mnayo yahitaji?
 
kwa hiyo Rais ana tekeleza mnayo yahitaji?
Mpaka nyie muone kuna umuhimu lakini sio wakati kamati/wapinzani wanaposhauri.

Kuanzia 2010 mpaka leo ni miaka mingapi?

Leo ndio imekuwa hoja!!

Bahati mbaya zaidi hata kuyafanyia kazi mawazo ya upinzani sometimes mnachemka kwa kuyatekeleza vivyo sivyo.
 
Magufuli aliwaambia muache siasa hadi 2020 akitegemea zile hoja za msingi za kitaifa ndio zinazotakiwa kupewa kipaumbele...!Ingawa wapinzani wengi waliitohoa hoja hii kiinstagram na kishalawadu.

Naanza kuungana na wale wanaopenda Magufuli apewe muda wa zaidi ya miaka 10 ili nchi isonge!
 
Mpaka nyie muone kuna umuhimu lakini sio wakati kamati/wapinzani wanaposhauri.

Kuanzia 2010 mpaka leo ni miaka mingapi?

Leo ndio imekuwa hoja!!

Bahati mbaya zaidi hata kuyafanyia kazi mawazo ya upinzani sometimes mnachemka kwa kuyatekeleza vivyo sivyo.
Tatizo lenu ni kudhani awamu hii ni kama awamu za awali!
 
Tatizo lenu ni kudhani awamu hii ni kama awamu za awali!
Hii awamu ya kuchukua hela kutoka hazina na kununua ndege ndio ina kipya kipya?
.
Hivi kuchota hela na kujenga hostel huku mmeshindwa kuongeza mishahara ya wafanyakazi ndio jambo la kujisifu?

Kuteua na kutengua ndio kipimo cha uongozi?

Mmezorotoshe kila sekta na kuelekea fedha zote kwenye ujenzi alafu mnajisifu!!

Angalieni makodi mnayotoza watu!
 
SIZANI KAMA HUWA WANAYAFANYIA KAZI MAPENDEKEZO YANAYOTOLEWA NA KAMATI ZINAZOONGOZWA NA WAPINZANI.
Ifuatayo ni sehemu ndogo ya hotuba ya aliekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Mashirika ya Umma(POAC), Zitto kabwe aliyowahi itoa Bungeni mwaka 2010.

7.2.10 Mheshimiwa Spika
, kwa kuwa Mkataba baina ya Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC) na Star Times International Communication una mapungufu kadhaa ya kisheria na ambayo yamebainishwa na Mkaguzi wa Hesabu wa TBC baada ya kuchambua Mkataba na Taarifa ya Hoja za Ukaguzi,na kwa kuwa mapungufu hayo yanaweza kuwa na athari katika utendaji wa TBC kwa siku zijazo , kwa hiyo basi Kamati inapendekeza kuwa, Serikali iupitie upya Mkataba huo ili kuainisha maeneo ya maboresho, aidha Serikali ifanye utaratibu wa kuangalia namna nzuri ya kutoa fedha kwa uendeshaji wa TBC ili kiwe chombo cha utangazaji wa Umma chenye kujiendesha.
 
Back
Top Bottom