Kamati Ya Nidhamu Ya Ccm Imekutana Leo...

Kinyambiss

JF-Expert Member
Dec 2, 2007
1,374
72
Habari zilizonifikia kutoka Dodoma zinasema kwamba JK atasimamia kikao cha nidhamu cha CCM.... inaonekana kunakauwezekano EL ana kina karamagi wakalamba dume. Tunasubiri maana everything is still sketchy at the moment. Kuna yeyote mwenyetaarifa zaidi jamani?
 
Nani atamfunga kengele paka? Kweli JK anaweza kuona kibanzi kwenye jicho la EL wakati kuna boriti kubwa tu linalotia ukungu jicho lake? CCM inapaswa iache miongozo ya wazee wa siasa kama Kingunge na Makamba na badala yake wafanye kazi ya kweli. Just because it is a political party it doesn't mean everything in their hands has to be political!!!

Yangu macho na masikio!!
 
Kingunge is too old and out of touchwith reality. The only reason JK kampa kazi is because alimtumia kumtrick Mkapa.. lets not get into that now, na huyo makamba mwizi tu. Alinunuliwa ile nyumba ya serikali na Yusuph Manji... Mimi nataka kuona EL anawajibishwa then MKAPA.. He's the biggest criminal.
 
mbona haya mambo yanazungumziwa kwenye platform za CCM kama vile wao ndio wameibiwa peke yao...hapa nimeshtuka tangu lini mwizi wetu akaadabishwa na chama badala ya state organ zilizopo kikatiba,kwanini EL anajitetea kwenye vikao vya CCM badala ya bunge la wananchi walioibiwa au mahakama zetu,nishaona kuna usanii hapo
 
aah.. mimi nimesema the correct constitutional exercise would be to bunge kumpigia VOTE of NO confidence... kama kuna mtu katiyetu anaeweza kuongea na mbunge hasa waupinzani alete hiyo motion bungeni then please.... naomba afanye hivyo.. lakini nadhani atajiuzulu.
 
JK ametumia akili sana.Alijua EL,Karamagi.Mramba and co ni mafisadi wa kutupwa...sasa hawa wote ni marafiki zake na wlimsaidia kimali wakati wa campaign ya u-rais.Hivyo basi katumia ujanja wa kamati ili hawa jamaa ambao ni mzigo mbovu ktk cabinet yake waondoke na amewaachia wajilimbikizie fedha kibao hatimaye wajiuzulu lakini ujuavyo jamaa zetu hawashibi hawa wtu mafisadi ukijumlisha pesa walizojilimbikizia zingelisha nchi nzima kwa muda wa miaka kadhaa trust me
 
I like your insight. very interesting. Kuna uwezekano ur right, kuna mtu aliniambia haya mwanzoni mwa admin ya JK. Tulikua tunajadili kitualichofanya EL wakati akiwa waziri wa ardhi. Ali annex kipande cha IKULU ya Arusha alafu akakiuza. Jambo la aibu sana. As it is anayumba zaidi ya kumi masaki. mpaka nyingine kampa dada yake karibia na la dolce vita.
Inasemekana anaviwanda Uholanzi, to name but few.
Lakini ukweli kuhusu suggestion yako utajulikana if he takes any action. But I thin he is under a lot of pressure to do so... Wananchi, Donor Community nayo inamuangalia... Lazma watu walambe dume.hahaha.
 
Kama hata sijapoteza muda kufikria nini adhabu ambayo wanaweza kupewa wakina EL et al na chama....ni vema tukaambiana kwenye kamati hiyo ni nani anaingia kama M/kiti, Katibu, Wajumbe n.k
 
Back
Top Bottom