Kamati ya Nidhamu Bungeni,Inacheza na akili za Watanzania.Si ya kuamini kamwe.

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,837
Walichokifanya kamati ya nidhamu bungeni ni viroja.Walimsamehe Halima mara ya kwanza kwa sababu moja tu.
Halima na Bashite walilalamikiwa kwenye tume hiyo kwa wakati mmoja,Nia yao kubwa ilikuwa kutokumwajibisha Bashite,Walimwita kama kuzuga tu wananchi,Walipogundua wakimwajibisha Halima na kumwacha bashite,Watastukiwa kwa upendeleo na udhalimu wao.Wakaja na gia ya kumsamehe halima. ile ilikuwa njia ya kumwachia bashite huru.Japo makosa ya Bashite yalikuwa makubwa kuliko halima.
Ipo lugha kamati hii hutumia,Kuwa hata wapinzani wapo.Wangapi?
Kumbuka hata bungeni wapinzani wapo ila ccm hupitisha sheria mbovu kwa wingi wao.So kigezo cha kuwepo wapinzani hakitowi taswira kwamba ndio haki itafuatwa.Never'Mkuchika na wenzio danganyeni watoto.
Watanzania muwe mnajiongeza,Hamna haki yoyote kwenye tume ya mkuchika.Nimewapa picha tu jiongezeni.Haki ipo mahakamani tu si vinginevyo.
 
Walichokifanya kamati ya nidhamu bungeni ni viroja.Walimsamehe Halima mara ya kwanza kwa sababu moja tu.
Halima na Bashite walilalamikiwa kwenye tume hiyo kwa wakati mmoja,Nia yao kubwa ilikuwa kutokumwajibisha Bashite,Walimwita kama kuzuga tu wananchi,Walipogundua wakimwajibisha Halima na kumwacha bashite,Watastukiwa kwa upendeleo na udhalimu wao.Wakaja na gia ya kumsamehe halima. ile ilikuwa njia ya kumwachia bashite huru.Japo makosa ya Bashite yalikuwa makubwa kuliko halima.
Ipo lugha kamati hii hutumia,Kwa hata wapinzani wapo.Wangapi?
Kumbuka hata bungeni wapinzani wapo ila ccm hupitisha sheria mbovu kwa wingi wao.So kigezo cha kuwepo wapinzani hakitowi taswira kwamba ndio haki itafuatwa.Never'Mkuchika na wenzio danganyeni watoto.
Watanzania muwe mnajiongeza,Hamna haki yoyote kwenye tume ya mkuchika.Nimewapa picha tu jiongezeni.Haki ipo mahakamani tu si vinginevyo.
HONGERENI WENYE KUAMINIKA NA WEZI NA MAJMBAZI!!!
 
Najiuliza tu, akitokea leo bungeni mbunge wa upinzani akasema "Majaliwa mwizi" spika atamuacha na kusema hana masikio hamsini ya kusikia kila mtu??
hana masikio yakusikiliza kwenye floor ya wabunge, ila wanapomteta nje ya bunge anawasikia.....only in Tanzania
 
Nina mashaka sana na kichwa cha Ndugai. Tangu atoke India maamuzi yake ni ya ajabu sana. Bunge haliwezi kiongozwa na wagonjwa.
Anatetea mhula wa pili wa uspika.. Lazima aende sawa na mwenyekiti, akiwa tofauti ataukosa uspika!
 
Ndugai ni mgonjwa kwa nini asipewe likizo ya matibabu kuliko kulivuruga bunge kwa maamuzi ya kishenzi???mgonjwa anapewaje dhamana ya kuongoza watu wazima na akili zao?l
Bunge la vipofu mambumbu ya mafisiem
 
Mkuu;
Umeleta mada nzuri sana lakini naona uchangiaji mwingi umejaa hasira, na mihemko. Nasema tu hivi; Spika alijisahau. Mtaalam wa upendeleo haendi kihivyo. Spika, ajitahidi kuuma na kupuliza kidogo sio kwa uwazi kivile. Hakuna wabunge walio juu ya wengine wala walioruhusiwa kuwapumulia wengine pale mjengoni
 
Hiyo kamati na bunge ni CCM, mlitegemea matokeo gani! Hivi Spika ana mamlaka ya kikanuni kumuweka Mnyika nje ya Bunge siku saba bila kamati!
 
Yaani ccm Hamna kitu always. Tena ndugai!!! Hali mbaya mgonjwa alieshindikana kutibika nchini kapelekwa india.. Zero brain na hiyo kamati yao uchwara
 
Mkuu;
Umeleta mada nzuri sana lakini naona uchangiaji mwingi umejaa hasira, na mihemko. Nasema tu hivi; Spika alijisahau. Mtaalam wa upendeleo haendi kihivyo. Spika, ajitahidi kuuma na kupuliza kidogo sio kwa uwazi kivile. Hakuna wabunge walio juu ya wengine wala walioruhusiwa kuwapumulia wengine pale mjengoni
Well said. Kimsingi hakukuwa na sababu ya kuonyesha upendeleo wake wazi wazi namna ile.

Ila siku zote what goes around comes around.
 
Back
Top Bottom