Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,894
- 31,106
Makamu mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Bwana Pius Msekwa ameelezwa kutaka Spika wa bunge Mheshimiwa Samwel Sitta achukuliwe hatua kali za kinidhamu pamoja na wabunge wote wanaounga mkono vita vya ufisadi.
Ikumbukwe Bwana Pius Msekwa alipoteza nafasi yake ya Uspika baada ya kushindwa na mheshimiwa Sitta.Bwana Msekwa amekuwa akionyesha chuki za waziwazi kwa mheshimiwa Sitta.Hata hivyo Msekwa amekuwa akipata pingamizi kutoka kwa wajumbe wenzake,akiwemo Mzee Ruksa na spika wa kwanza wa jumuiya ya Afrika mashariki Bwana A kinana.
Wakati Bwana kinana ameelezwa kuwa na msimamo mkali zaidi akitaka pande zote husika zichukuliwe hatua kulingana na uzito wa tuhuma kwa watuhumiwa wa ufisadi kushughulikiwa kukisafisha chama na Mheshimiwa Sitta na wenzake kukemewa.
Chanzo raia mwema
Ikumbukwe Bwana Pius Msekwa alipoteza nafasi yake ya Uspika baada ya kushindwa na mheshimiwa Sitta.Bwana Msekwa amekuwa akionyesha chuki za waziwazi kwa mheshimiwa Sitta.Hata hivyo Msekwa amekuwa akipata pingamizi kutoka kwa wajumbe wenzake,akiwemo Mzee Ruksa na spika wa kwanza wa jumuiya ya Afrika mashariki Bwana A kinana.
Wakati Bwana kinana ameelezwa kuwa na msimamo mkali zaidi akitaka pande zote husika zichukuliwe hatua kulingana na uzito wa tuhuma kwa watuhumiwa wa ufisadi kushughulikiwa kukisafisha chama na Mheshimiwa Sitta na wenzake kukemewa.
Chanzo raia mwema