kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Wewe ni chura tuliza akili zako za kichura. Huna ujualo. Hapo ikitokea lakutokea huoni kama maelfu ya watu watakufa? Kubwa jinga wewe.Hahahah yani hili jitu ni hovyo sijawahi kuona Kamati imeundwa na Rais afu linamshauri CDF aingilie kati yani lina mshauri CDF afanye jambo la kihaini, Kiusalama hali ingekua mbaya zaidi kama watu wasingeruhusiwa kumuuaga mpendwa wao....
Mnaumizwa hadi na maiti nyie mijitu mbona ya hovyo sana