Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Upinzani unaotoka nje kila inapoletwa hoja ya maana bungeni kushindwa ulivyoshindwa sio jambo la ajabu.

Upinzani unaosusa kijinga tu kupigwa chini na wananchi lilikuwa ni jambo la wakati tu.

Magufuli alieleweka kwenye kampeni hao wazungu wanakariri maisha wakiongozwa na ego ya kujiona wao ndio binadamu wa kwanza kwa ubora.
Nikiambiwa nichague vikwazo au ccm ntachagua ccm, mzungu au JPM ntachagua JPM, Ulaya au Tz ntachagua Tz. Hilo halimaanishi kwamba sina mashaka na matokeo ya uchaguzi. Ushindi wa ccm una mashaka.
 
More info :
19 November 2020

Council approves conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024​

The Council has approved conclusions on the EU Action Plan on Human Rights and Democracy 2020-2024. The Action Plan sets out the EU's level of ambition and priorities in this field in its relations with all third countries.

With this Action Plan, the Council reaffirms the EU's strong commitment to further advancing universal values for all.

The conclusions acknowledge that while there have been leaps forward, there has also been a pushback against the universality and indivisibility of human rights. The ongoing COVID-19 pandemic and its socio-economic consequences have had an increasingly negative impact on all human rights, democracy and rule of law, deepening pre-existing inequalities and increasing pressure on persons in vulnerable situations.

No one should be left behind, no human right ignored. To this end the EU and its member states will use the full range of their instruments, in all areas of external action, to focus on and further strengthen EU's global leadership in the field of human rights and democracy and in the implementation of the EU Action Plan.

Background​

In 2012, the EU adopted the Strategic Framework on Human Rights and Democracy which set out the principles, objectives and priorities designed to improve the effectiveness and consistency of EU policy in these areas. To implement the EU Strategic Framework of 2012, the EU has adopted two EU Action Plans (2012-2014 and 2015-2019).

The new Action Plan for 2020-2024 builds on the previous action plans and continues to focus on long-standing priorities such as supporting human rights defenders and the fight against the death penalty.

By identifying five overarching priorities: (1) protecting and empowering individuals; (2) building resilient, inclusive and democratic societies; (3) promoting a global system for human rights and democracy; (4) new technologies: harnessing opportunities and addressing challenges; and (5) delivering by working together, the Action Plan also reflects the changing context with attention to new technologies and to the link between global environmental challenges and human rights.
Source : https://www.consilium.europa.eu/en/...plan-on-human-rights-and-democracy-2020-2024/
 
Rest In Peace Benjamin William Mkapa
 
Tanzania tuna Mungu tulishirikisha viongozi wa dini kubwa waongee na Mungu kuwa anataka nchi raisi ikabidhiwe kwa mashoga na wasagaji wa ndani au wa nje au watetea ushoga na usagaji wawe CCM, chadema etc au wawe kawe au ubelgiji nk? Akakataa

Ombeni ukimwi nao uishe.
 
Bukililoooooo lo! Bado uko katika Enzi za Nyerere! Amka! International relations and world politics zimegeuka sana. Exactly, tangu mauaji ya Rwanda imeamulika kuwa hii 'haki ya kutoingilia' nchi yeyote ndiyo ilifikisha huko. Hivi leo, 'jamii ya kimataifa' ina haki ya kujiingiza pale inapoona dalili za udikteta na ufashisti zinachomoza…..hawangojei tena ifikie kama Rwanda. Soma kitabu cha Kofi Anan 'The right of intervention'
Hayo yanayoitwa udikteta ni Gia tu ya kishenzi ya wazungu kutaka kuingilia siasa za ndani za mataifa mengine.

Demokrasia wanayoiongelea ndio hiyo ya kishetani yenye masharti ambayo ni kufuru kwa Mungu.
 
mwizi Wa kuxa huvu
Hovyo! Kabisa. Mazuzu wanaojitekenya na kujichekesha wenyewe wanatia kichefuchefu!
Wanashindwaje kujua km hatua zozote za kuihujumu Tanzania na raia wake, zitamuathiri hata yeye na jamaa zake, kwa namna moja ama nyengine!

Wakati huu ambapo tunajitambua kuwa maendeleo yetu lazima yaletwe na jitihada za sisi wenyewe, badala ya kutegemea bakuli la wafadhili ni muhimu kila raia kuunga mkono jitihada hizo, na kuwa mstari wa mbele kutetea uhuru wetu kama taifa na utashi wetu kama binaadamu. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako!
 
Munaosherekea issue hii hamna akili ama kama munazo basi mtakua mnatumika na Mabeberu.
Nchi yetu tunalazimisha kuitia kiberiti.
 
Back
Top Bottom