Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Hovyo Kabisa. Mazuzu wanaojitekenya na kujichekesha wenyewe wanatia kichefuchefu!
Wanashindwaje kujua km hatua zozote za kuihujumu Tanzania na raia wake, zitamuathiri hata yeye na jamaa zake, kwa namna moja ama nyengine!

Wakati huu ambapo tunajitambua kuwa maendeleo yetu lazima yaletwe na jitihada za sisi wenyewe, badala ya kutegemea bakuli la wafadhili ni muhimu kila raia kuunga mkono jitihada hizo, na kuwa mstari wa mbele kutetea uhuru wetu kama taifa na utashi wetu kama binaadamu. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako!
 
Mkuu unajua ICC inachunguza kesi za aina gani?

Then hawa jamaa hawajawahi kuidiscuss Africa in a positive way....haijawahi kutokea.......

Inawezekana kama nchi kuna mambo hayako sawa,ila kama jamii forum ninayoamini wengi ni watu wa kufuatilia mambo na kuyaelewa vizuri,ila kuendelea kushangilia na kufurahia nchi kusemwa vibaya,ukidhani ndiyo maisha yako yatakuwa bora ni kujidanganya tu.....

Mabadiliko yanaanza na sisi WaTz wenyewe,hakuna wakutusaidia maana kila mtu anaangalia maslahi yake
 
Hovyo! Kabisa. Mazuzu wanaojitekenya na kujichekesha wenyewe wanatia kichefuchefu!
Wanashindwaje kujua km hatua zozote za kuihujumu Tanzania na raia wake, zitamuathiri hata yeye na jamaa zake, kwa namna moja ama nyengine!

Wakati huu ambapo tunajitambua kuwa maendeleo yetu lazima yaletwe na jitihada za sisi wenyewe, badala ya kutegemea bakuli la wafadhili ni muhimu kila raia kuunga mkono jitihada hizo, na kuwa mstari wa mbele kutetea uhuru wetu kama taifa na utashi wetu kama binaadamu. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako!
Jitihada gani zako mwenyewe??? Za kwenda kutembeza bakuli kwako kuomba msaada???😂😂
 
Kumbe serikali yetu ilipokea pesa za msaada wa Covid wakati sisi hatuna Corona, sasa watuambie hizo pesa zilipelekwa wapi? na kwanini tukawadanganya wazungu wakatupa pesa wakati sisi ni donor kantre.

Hali yetu huko nje ni mbaya, sasa hilo halina mjadala, sijui tutaweza vipi kuishi kama kisiwa, wakakataa kuwaacha Chadema waende bungeni, sasa wana msalaba mkubwa zaidi wa kuubeba aheri ya wapinzani wangekuwa bungeni.
WALIWALIPA WASANII KUTUMBUIZA KWENYE KAMPENI.
 
Mkuu unajua ICC inachunguza kesi za aina gani?

Then hawa jamaa hawajawahi kuidiscuss Africa in a positive way....haijawahi kutokea.......

Inawezekana kama nchi kuna mambo hayako sawa,ila kama jamii forum ninayoamini wengi ni watu wa kufuatilia mambo na kuyaelewa vizuri,ila kuendelea kushangilia na kufurahia nchi kusemwa vibaya,ukidhani ndiyo maisha yako yatakuwa bora ni kujidanganya tu.....

Mabadiliko yanaanza na sisi WaTz wenyewe,hakuna wakutusaidia maana kila mtu anaangalia maslahi yake
Sasa mwaka huu ndo utajua ICC inachunguza kesi gani’
 
Mpaka Leo najiuliza magufuli aliogopa nini kwenye uchaguzi mpaka kuchafua uchaguzi kiasi kile.?
Yaani Bora wale waliokamatwa na zile kura feki wangefunguliwa mashtaka.kidogo ingekuwa afadhali.lakini mnawalinda kwanini mnawalinda?
Alipewa tafiti za kweli toka kitengo kuwa hata nusu ya asilimia 58 alizopata 2015 hazifiki hivyo kama ana Nia ya kukalia kiti afanye mapema, amri ikatolewa Kwa Mahera ushindi usipungue asilimia 80 shauri ya papara wakasahau takwa la kikatiba kuhusu upinzani. Matokeo- Aibu ya mwaka.
 
Sasa wewe unaogopa nini?

Chapa kazi bwashee!

Wapi kakuambi anaogopa bwashee?

Acha kuwa "paranoid" bwashee...

Ni taarifa ya kilichojiri baada ya majadala..

Na ofcoz kuna wakati utafika, tutaogopa, na hata wewe unaweza kujikuta unaogopa tu....

Kama bajeti ya nchi yetu almost 45% inategemea ijazilizwe na wao unategemea nini?

Kusema, we can stand on our own ni kujilisha upepo tu (ingalau kwa sasa)...

Haya yangekuwa yanatokea kwa sbb za kuonewa tu, tungeshikamana wote kujijitetea...

Lakini haya yanatokea kwa sababu ya upumbavu na ujinga wa watawala wetu kwa kukanyaga kanyaga haki za watu...!!
 
Back
Top Bottom