Soma maelezo yote utaelewa.Tume hii iliyojaa doublestand nani mwenye akili ataiamini?!
Ina maana kwenye hizo form za kugombea wahusika hawajazi ananuani zao?
Na kama hawajazi anuani tofauti na za vyama vyao bali wanajaza za chama,nani alipaswa kuwa addressed kwenye hiyo barua kupitia ananuani ya chama?
Je,si walipaswa kumu-address Lissu kama mgombea kupitia anuani ya chama chake?
Hujui kuwa mtikika alikuwa mwanasheria? Tena aliyesoma kwa njia ya posta,lakini alikuwa na Iq kubwa.Ww nawe kiazi kweli nani alikudanganya mtikila alikuwa ni mwanasheria!?
Una ushahidi kuwa kafanya makusudi. With evidence tetea hoja yako. Lakin ulete ushahid wa uhakikaLisu anafanya makusudi kuvuruga uchaguzi, kwani anajua hawezi kushinda. Taminio lake ni kuleta vurugu ili kuchafua nchi kwa wahisani ionekane tanzania hakuna haki wala demokrasia. Hila zake hazitafanikiwa
Upumbaff newsSasa hii nayo ni breaking news?
Kufutika Mtikila kivipi? Mlimuua? Au vipi?Lissu kiburi chake kinamponza
Walikuwepo kina mtikila wanaojua sheria kuliko yeye ila walifutika km upepo
Ni wivu tu ni wivu tu ni wivu tu.Lissu kiburi chake kinamponza
Walikuwepo kina mtikila wanaojua sheria kuliko yeye ila walifutika km upepo
Ni wivu tuu ni wivvu tuu ni wivu tuu
Kufutika Mtikila kivipi? Mlimuua? Au vipi?
Mbona wewe unamuomba ndogo mkeo hatusemi?Nitamuoneaje wivu mtu anayetetea ushoga
Wapigania haki kabla ya ushindi huonekana machizi.....Usimfananishe Mandela na chizi
Huyo ni bushlawyer....Hujui kuwa mtikika alikuwa mwanasheria? Tena aliyesoma kwa njia ya posta,lakini alikuwa na Iq kubwa.
Bush lawyer?Huyi ni bushlawyer....
Nimeshindwa kushangaa hili, ni kwamba wanafanya kusudi? Hawajui kuwa lissu sio mgombea binafsi??Nmecheka sana hapo waliposema hao mawakili wasomi wa Lisu walisema Lisu na chadema ni vitu viwili tofauti.
Kumbe Lisu kawalisha watu wengi sana umbumbumbu wake
Mbona wewe unamuomba ndogo mkeo hatusemi?