johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,557
- 141,365
Naona Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe bado amemkalia kooni mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu.
Dr Kavishe amesema kinachogombea ni chama cha Chadema ambacho kimemdhamini Tundu Lisu kwa nafasi hiyo hivyo Tundu Lisu atapaswa kutumikia adhabu ambayo kimsingi Chadema wameikubali.
Dr Kavishe amenukuliwa na ITV akisema adhabu ya Chadema kupitia kwa Tundu Lisu ni halali kabisa.
Maendeleo hayana vyama!
Dr Kavishe amesema kinachogombea ni chama cha Chadema ambacho kimemdhamini Tundu Lisu kwa nafasi hiyo hivyo Tundu Lisu atapaswa kutumikia adhabu ambayo kimsingi Chadema wameikubali.
Dr Kavishe amenukuliwa na ITV akisema adhabu ya Chadema kupitia kwa Tundu Lisu ni halali kabisa.
Maendeleo hayana vyama!