Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,707
- 71,017
Ile kamati ya maadili iliyokaa siku mbili Dodoma ikiwasubiri Makamba na Kinana (pengine kwa kukosa usafiri) huku aliyetoka Mtama Lindi akiwahi, tumeambiwa iliamua kuonana na hao wazee Dar.
Lakini la ajabu, hakuna mjumbe yeyote aliyetambuliwa kuongea na hao wazee zaidi ya Mangula na Katibu Mkuu, Bashiru.
Je, haya yalikuwa mahojiano na kamati kama wanavyo aminishwa watu au yalikuwa mazungumzo ya agenda nyingine tofauti?
CCM ya sasa ikikutangazia kuwa kuna mvua kubwa inanyesha basi toka nje uhakikishe kweli kuna mvua kabla ya kuamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini la ajabu, hakuna mjumbe yeyote aliyetambuliwa kuongea na hao wazee zaidi ya Mangula na Katibu Mkuu, Bashiru.
Je, haya yalikuwa mahojiano na kamati kama wanavyo aminishwa watu au yalikuwa mazungumzo ya agenda nyingine tofauti?
CCM ya sasa ikikutangazia kuwa kuna mvua kubwa inanyesha basi toka nje uhakikishe kweli kuna mvua kabla ya kuamini.
Sent using Jamii Forums mobile app