Kamati ya maadili: Hukumu ya Halima Mdee wa Chadema kutolewa leo saa 7.00 mchana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,609
141,428
Kamati ya maadili manispaa ya Kinondoni leo itatoa uamuzi wa ama kumfungia siku 7 Halima Mdee wa CHADEMA au la kufuatia malalamiko ya CCM na mgombea wao Dr Gwajima kwamba Mdee alitumia lugha isiyofaa.

Source Umoja Tv!
 
Back
Top Bottom