Wapuuzi sana hawa chama kimeshachoka hakuna namna hawawezi kuendelea!Kamati ya ya nidhamu ya bunge imetoa hukumu kwa Gwajima ya hasira.
Mwakasaka hafai ,
Itambulike hata hii Jonson & Jonson's hapo baadae tutapigwa jab nyingine tu,pamoja na kuaminishwa ni jab moja.
Hapa inaonekana wanafurahishwa wafadhili,aibu sana
Namalizia kwa kusema hizi chanjo ni za majaribio tu,full stop
Nimemsikia Spika akihitimisha hoja za kamati iliyomuhoji Gwajboy akisema ati ;" kwa nini wakati wa Magufuri hakutenda anayotenda leo, kisa ni kwa kuwa mama anatawala" Nikacheka sana mana hakujiuliza wao mbona hawakufanya hivi wakati wa Magufuri?! au kwa kuwa sasa mama anatawala. Usipocheka sasa jitafakali.............Kwa hili niko upande wa Gwajima ,
Kama mtumishi ni lazima awe mfano wa kuigwa kiimani na kondoo wake!
Serikali imeshindwa kutambua kwamba Kuna Gwajima wawili ndani ya mtu mmoja, Gwajima ambaye ni mbunge, na Gwajima ambaye ni pastor!
Mbona wakat wa mwenda hawakumbughudhi?
Wabunge na bunge Acheni unafiki
Acha wafu wazike wafu wao...none of our business...waache kulia lia...Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime
Kama walijua kuwa Gwaji ni jeuri kwa nini waliiba kura ili Gwaji ashinde ubunge?
Kamati ya Maadili imesema kitendo cha Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima kukataa vitu alivyoandaliwa kama ujeuri.
Gwajima alikataa kutumia kiti na kipaza sauti, siku ya nyingine alikataa kukaa chini kama alivyoelekezwa.
Aidha amesemwa kutojibu maswali kadiri yalivyoulizwa bali aling'ang'ania kuwa kiongozi wa dini.
Walimpa Ubunge wa Nini? Huyu Gwajima hakustahili kuwa Mbunge ni Mtu mwenye kujidai anajua Sana. Yaani angekuwa na Elimu ya Medicine Nchi ingewaka Moto.
Kamati ya Maadili imesema kitendo cha Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima kukataa vitu alivyoandaliwa kama ujeuri.
Gwajima alikataa kutumia kiti na kipaza sauti, siku ya nyingine alikataa kukaa chini kama alivyoelekezwa.
Aidha amesemwa kutojibu maswali kadiri yalivyoulizwa bali aling'ang'ania kuwa kiongozi wa dini.
Wenyewe wanasubiri kusujudu tuu, kwa namna moja au nyingine akili ya GWAJIMA ni level nyingine, sion kosa la GWAJIMAHatuwezi kufanikiwa kwa wabunge wa namna hii...kamati ya kujadili Tozo iko wapi?
Anajua sana na amewazidi wabunge wengi kwa mbali sanaWalimpa Ubunge wa Nini? Huyu Gwajima hakustahili kuwa Mbunge ni Mtu mwenye kujidai anajua Sana. Yaani angekuwa na Elimu ya Medicine Nchi ingewaka Moto.
Nimemsikia Spika akihitimisha hoja za kamati iliyomuhoji akisema ati ;" kwa nini wakati wa Magufuri hahutenda anayotenda leo, kisa ni kwa kuwa mama anatawala" Nikacheka sana mana hakujiuliza wao mbona hawakufanya hivi wakati wa Magufuri?! au kwa kuwa sasa mama anatawala. Usipocheka sasa jitafakali.............