MNAMBOWA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,051
- 359
kama ana hoja iliyomfanya abadili huo muswaada si ailezee na wanakamati muijibu kwa hoja,, kwanza yeye ndo mwenye dhamana ana mamlaka ya kufanya hvy,, Tatizo liko wapi au kwa kuwa Ni waziri kwenye Serikari inayoongozwa na CCM? ,, mlitaka afanyeje?,, kila ki2 imekuwa kulinda kulinda,, kama ni Misimamo hy hata KATIBA itoke Mbinguni bd hapatakuwa na Suluhu,, au hamuelewi Refa anayesimamia mchezo wa Maisha kati ya Wananchi NA mihimili mikuu ya nchi? ungewasilishwa na Upinzani ndo mngeukubali hata kama hawana mamlaka?, Cyo Tanzania tuitakayo jamani.