Kamati ya kuchunguza suala la Makonda vs kamati ya Mwakyembe sakata la Richmond

Bome-e

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
17,065
26,044
Nimeona watu wakilalamika kuwa kwann ripoti imetoka wakati haina upande wa pili ambao ni Makonda!Hapa Makonda amekwepa mwenyewe kutoa ushirikiano kwa kamati kufikia hadi kuwatoroka ofisini kwake!
Lakini pia tujikumbushe kamati ya Mwakyembe juu ya Richmond,hawa walisafiri mpaka marekani lakini hawakumuhoji lowassa ambaye alikuwa tayari kutoa ushirikiano!Kamati iliwasilisha ripoti bungeni bila maelezo ya lowassa!Mwenyewe alilalamika kwa kutohojiwa na kamati!
Tuache double standard!
 
Watanzania ni wanafiki tu wao walitaka mtu aendelee kukimbia tu huku ripoti ikimsubiri yeye!

Naye atafute muda atoe ufafanuzi kama anao
 
Nimeona watu wakilalamika kuwa kwann ripoti imetoka wakati haina upande wa pili ambao ni Makonda!Hapa Makonda amekwepa mwenyewe kutoa ushirikiano kwa kamati kufikia hadi kuwatoroka ofisini kwake!
Lakini pia tujikumbushe kamati ya Mwakyembe juu ya Richmond,hawa walisafiri mpaka marekani lakini hawakumuhoji lowassa ambaye alikuwa tayari kutoa ushirikiano!Kamati iliwasilisha ripoti bungeni bila maelezo ya lowassa!Mwenyewe alilalamika kwa kutohojiwa na kamati!
Tuache double standard!

Acha uongo eti kakwepa, walienda saa ngapi kama hata walimtafuta!?

Gemu la Nape na wenzake limenaswa, hawakujua wanaangaliwa. Soma uzi mmoja wa leo humu.

Makonda oyeeeee
 
Acha uongo eti kakwepa, walienda saa ngapi kama hata walimtafuta!?

Gemu la Nape na wenzake limenaswa, hawakujua wanaangaliwa. Soma uzi mmoja wa leo humu.

Makonda oyeeeee
Walienda saa 5,wakaambiwa RC ana mgeni!Wakasubiri,saa 6 na nusu,wakaambia wapande ngazi RC wakaonane na RC!Walivyopanda wakashangaa gari la RC linatimua vumbi kutoka viunga vya ofisi yake!Kuuliza wakaambiwa mkuu ndio kashasepa,walikaa mpaka saa 9 wakatoka mikono mitupu!Hapo pia juhudi za kumtafuta kwa simu na barua zilikuwa zimeshahonga mwamba kitambo!
 
Nimeona watu wakilalamika kuwa kwann ripoti imetoka wakati haina upande wa pili ambao ni Makonda!Hapa Makonda amekwepa mwenyewe kutoa ushirikiano kwa kamati kufikia hadi kuwatoroka ofisini kwake!
Lakini pia tujikumbushe kamati ya Mwakyembe juu ya Richmond,hawa walisafiri mpaka marekani lakini hawakumuhoji lowassa ambaye alikuwa tayari kutoa ushirikiano!Kamati iliwasilisha ripoti bungeni bila maelezo ya lowassa!Mwenyewe alilalamika kwa kutohojiwa na kamati!
Tuache double standard!
Mwakyembe alisema: documents zilitosha kujieleza. Jinsi process ilivyokua, ndio maana hakumuhoji EL

Daudi, amekimbia mwenyewe asihojiwe. Na mkuu ndiye alimtuma kufanya madudu.
 
Wewe Nape nani anaweza kua CDM?

Kwanza umeisaidia nini Kikubwa CCM kumzidi Nape?

Mmesahau mpaka alitaka kupoteza Maisha yake (alipata accident kipindi cha kampeni)kwaajili ya chama?
Kubishana na chizi utajipa kazi.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom