Ndugu wana JF. Napenda kufahamu muundo wa kamati ya kuchambua barua za watumishi wanaohama mikoani. Kamati hiyo huundwa na watu wangapi na wenye nyadhifa zipi serikalini? Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.