Ambitious
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,144
- 875
Biblia inasema, wafu hawajui kitu
Hilo ni andiko la Ecclesiastes 9:5,6,10.Hapa ndipo dhana za moto wa mateso na kwenda mbinguni kumuimbia Mungu zinapoangukia pua.Ila tusiingie huku tutakesha hapa.