Kamati ya katiba Kenya yapendekeza kufuta cheo cha Waziri Mkuu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
Kenya-TaxationMP_tv_30apr096_0.jpg



Wabunge kwenye kikao cha bunge Kenya Baada ya majadiliano ya zaidi ya wiki moja katika mji wa Naivasha huko Kenya, hatimaye kamati ya marekebisho ya katiba nchini humo, imekubaliana kwamba Kenya yastahili kuondoa cheo cha Waziri Mkuu na badala yake kuzingatia mfumo wa serikali unaofanana na ule wa serikali ya Marekani ambapo Rais ni kiongozi wa taifa na pia serikali.

Kamati hiyo maalumu yenye wabunge 26 imeafikiana kufutilia mbali mapendekezo yaliyokuwa yametolewa na kamati ya wataalamu wa sheria kuhusu mfumo wa serikali wenye cheo cha waziri mkuu na pia Rais ambapo wote wawili wanagawanya mamlaka ya serikali.

Wanasema mfumo wa aina hii ni hatari sana kwa sababu unaweza kuitumbukiza nchi hiyo kwenye mzozo wa kikatiba ikiwa kutazuka mvutano wa uongozi kati ya Rais na waziri Mkuu. Badala yake kamati hiyo ya Bunge imependekeza Kenya inastahili kuwa na mfumo wa serikali unaofanana na mfumo ule wa serikali ya Marekani ambapo Rais atakuwa ni kiongozi wa taifa na pia serikali. Lakini kutakuwa na taasisi mbali mbali kama vile Bunge na mahakama kuu, za kuhakikisha kwamba kiongozi wa taifa hatakiuka madaraka na wadhifa aliopewa kikatiba.
Makundi mbali mbali ya wanawake nchini humo yanapinga pendekezo la kutoa madaraka yote ya uongozi kwa Rais.


http://www.voanews.com/swahili/2010-01-25-voa6.cfm
 
Tatizo letu binadamu ni pale tunapotunga sheria kumlenga mtu fulani, tunasahau kwamba mtu hadumu lakini utaratibu wa kisheria utadumu.

Hao wabunge si wanarudi kule walikotoka kumrundikia Rais madaraka yote? Tanzan ia kuna vyombo hivyo wanavyosema wakenya kwamba vitammonitor Rais kama anakiuka Katiba, ubavu huo nani atakuwa nao? Maana maeneo yote hayo Rais aaweka strategically walio karibu naye kuwamonior wakorofi wake. Jamani, kwani Israel na Uingereza zenye mawaziri wakuu wenye mamlaka sana wamekwama wapi?

Leka
 
Tatizo letu binadamu ni pale tunapotunga sheria kumlenga mtu fulani, tunasahau kwamba mtu hadumu lakini utaratibu wa kisheria utadumu.

Hao wabunge si wanarudi kule walikotoka kumrundikia Rais madaraka yote? Tanzan ia kuna vyombo hivyo wanavyosema wakenya kwamba vitammonitor Rais kama anakiuka Katiba, ubavu huo nani atakuwa nao? Maana maeneo yote hayo Rais aaweka strategically walio karibu naye kuwamonior wakorofi wake. Jamani, kwani Israel na Uingereza zenye mawaziri wakuu wenye mamlaka sana wamekwama wapi?

Leka

Hii ishu ya katiba ya Kenya bado ni nyeti na ina utata ndani yake. Most of the
reports we are getting ni kutoka kwa hao wanakamati ambao msimamo
wao kwa kiwango kikubwa ni matakwa ya Rais Kibaki na pia ukitazama kwa
undani uanjua lia mlengwa ni Raila Odinga.

Ukiwa unafuatilia hii kitu utajua kwamba ni yule William Ruto aliyependekeza
haya matakwa ya kufutilia mbali kiti cha Waziri Mkuu huku akijua wazi
anampiga vita Raila Odinga. Katika mtazamo wao finyu na uliojaa ukabila
hawa mabwana wanacheza makidamakida na maisha ya zaidi ya wakenya
milioni 30 na wale walipoteza maisha yao baada ya kuibiwa kwa kura za 2012.

Kenya's problems desite what we are being told are primarily because of
an imperial President who does nothing but propagate the whims of his
ethnic folks. Tuliona Kenyatta alivyowatajirisha wakikuyu, kisha akaja Moi
ambaye alihakikisha Wakalenjin wanalipiza kisasi na akaiba na kuua watu
wote waliokua wapinzani. Kibaki naye kaja na mtindo huo huo na kumaintain
status quo.

In any country whatsover, its my belief that the citizens are biggger than
the nation or their leaders and the constitution is the only thing that can
guarantee the protection of their rights. Hapa tunaona jamaa wakisahau
hii ishu na wanachopendekeza na kudanganya ulimwengu ni kwamba
wabunge chini ya 30 wameamua matakwa ya wakenya. What hogwash.

Meanwhile soma vizuri vile gazeti la EA Standard linavyosema katika dondoo hili:

But despite relief sweeping across the country from the PSC cross-party deal that even President Kibaki and Prime Minister Raila Odinga could not get their key committee of Cabinet on review to hammer out, there are still two hurdles to be overcome.

  • One depends on whether Kibaki's Party of National Unity and Raila's Orange Democratic Movement would agree on how CoE would incorporate PSC's deal into a final document for a referendum.
  • Two, for the new law to be promulgated, it must be passed by Kenyans at the referendum. "We have gone through every chapter, we are on course to handing our report over to CoE tomorrow afternoon,'' said Abdikadir.
Ukweli ni kwamba ikiwa wananchi watapiga kura with thing as it is,
wataitupilia mbali lakini the main problem itakua what next? The last
time around they did this, walirudishiwa ile katiba ya zamani ya mkoloni
na nothing changed.

Naona kwamba hali itakua ile ile na Kibaki ataendelea kutawala na
kuendeleza sera za ukabila na kiimla. Sitoshangaa kumuona Uhuru
Kenyatta akichukua Urais hapo 2012 au in a worser case of
circumstances mwanae Kibaki kwa jina Jimmy akipewa uongozi
wa nchi.


Mungu ibariki Kenya na poleni sana wapendwa.

Nawasilisha.
 
AN EAST AFRICAN PERSPECTIVE

By Jerry Okungu


IT is true all is not well with the constitution process despite reported agreements on several contentious areas on the proposed Kenyan constitution. Kenyans may still be shortchanged by the political brokers.

It would appear like this constitution review process may have gone to the slaughter house called Naivasha Lodge where those with the sharpest knives will emerge with the biggest chunks of meat.

Personal and group interests are being played out rather openly. Political parties are bastardising this document to suit their narrow parochial interests. If they succeed in coming out with what Kenyans did not ask for, then the people of Kenya must be ready to reject this constitution.

We cannot allow a document made to suit 220 people to be the mother law for 40 million Kenyans. Kenyans have been candid in their contributions. They said clearly that they wanted power devolved to the grassroots. They wanted real power devolved to the regions. Politicians must respect this or there will be no deal.
They asked for a two-chamber parliament. Members of Parliament sitting in Naivasha had better not tamper with this clause or there will be no deal.
Wananchi asked for a recall clause to deal with non-performing MPs.

If the PSC members remove it, there will be no deal. Kenyans have demanded to elect their chief executive. All they are saying is that they want to elect him or her and give the winner executive powers to manage the country for five years. If the PSC members sitting in Naivasha come up with something that negates this; then there will be trouble at the referendum.

This constitution must demystify the presidency, strip it of its imperial powers and empower the august House to impeach the head of state without fear of sending MPs home. It must make the head of state not only accountable to parliament but also appear in the House from time to time to answer questions from MPs.
Kenyans are sick and tired of a confused system where our elected leaders are everything to everybody. They want a genuine separation of powers between the executive, parliament and the judiciary. Never again will they have a situation where a serving MP is also a cabinet minister.

What they are saying here is rather simple. If you want to be an MP, then sit in Parliament and make laws and be part of Parliament. If you think you would want to be a cabinet minister then wait to be nominated by the chief executive for vetting in Parliament.

Kenyans are saying that no member of the executive has any business meddling in village politics. They must avoid narrow parochial interests while they are serving in the cabinet. They must project national and international interests of Kenya.

In this country of more than 40 million Kenyans, we know that the womenfolk account for more than 50% of our population. At one point President Mwai Kibaki issued an executive directive that all public institution appointments should ensure that 30% of slots are allocated to women. It was therefore strange and saddening to learn that whereas the PSC was considering increasing parliamentary seats to 300, the same committee was reluctant to give women just 40 seats!

My simple logic tells me that if Parliament cannot see the importance of affirmative action in this day and age; then who will? How can an institution that claims to be the public watchdog over executive excesses be the first to deny women their rightful representation in the august House?

My primary school arithmetic tells me that if we plan to have 300 constituencies, then the most honourable thing is to allocate 100 seats to the women of Kenya and let them slot those seats either through nomination or through competitive politics amongst themselves.

Let it be mandatory that if there are 30 constituencies in one province then 10 constituencies will be reserved for women. Let us not dilly dally with this gender representation. We all know why women perform poorly in our electoral process. It is violence and verbal abuse against women that cow them from voting for their own.

Let the law be passed that bars rogue husbands from confiscating their wives’ voting cards and leading them to the voting booths like goats to the marketplace to vote for their husbands’ preferred candidates.

Let Kenyan male MPs not fear the empowerment of women. Rwanda and Uganda have successfully done it without shedding any tears. In any case, this gesture would be a good sign that member states of the EAC are moving in tandem with crucial political reforms.

jerryokungu@gmail.com
 
Back
Top Bottom