Kamati ya Fedha ya Bunge PAC yatoa tamko: ATCL iko mahututi, itakufa hivi karibuni

Katika kuthibitisha kile ambacho wanasiasa wa upinzani na wananchi kwa ujumla wamekuwa wakikipigia kelele siku zote na serikali kujifanya kiziwi haitaki kusikia, makamu mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya Bunge, Japhet Hasunga, ametoa tamko rasmi kwamba shirika la ndege la Tanzania ATCL liko mahututi na litakufa hivi karibuni.

Itakumbukwa kwamba suala la mkurupuko katika kulifufua shirika la ndege la Tanzania, ATCL, ni jambo lililosemwa sana na watu wa upinzani na Watanzania kwa ujumla, lakini CCM na serikali iliyopo madarakani siku zote hawakutaka kusikiliza na kukebehi ushauri na mapungufu yaliyokuwa yakitolewa na wadau hao.

Kwa kauli hii ya kamati ye fedha, inadhihirisha mtazamo kwamba sio kila ushauri unaotolewa na upande wa upinzani ni mbaya na unapaswa kubezwa kwamba ni harakati za upinzani kupinga kila kitu.

Nukuu ya maneno ya Makamu mwenyekiti wa kamati ya fedha PAC juu ya kuwa mahututi na kifo cha ATCL hivi karibuni iko hapa chini.

View attachment 1916189
Tafsiri; "ukichukua madeni yote ya ATCL, yanayofikia 472.8bln/-, na mtaji wa mali za shirika ambazo ni 256.2bln, na ukatoa thamani ya madeni toka madeni toka mtaji, wanabaki na mtaji ambao ni deni wa 216.6bln, alifafanua (Hasunga), akisisitiza kwamba hii ni dalili kwamba ATCL iko mahututi na itakufa hivi karibuni"

Jambo moja ambalo kamati ya fedha imeliongelea kwa namna ya kukosoa sana na kuonyesha kuwa ni mojawapo ya chanzo cha matatizo ya ATCL ni suala la kwamba ndege za ATCL sio zao ni za serikali kwa hiyo kwa namna fulani ATCL wanakuwa hawana mamlaka kamili kusimamia ATCL, bali mamlaka hayo yako Wizara ya Usafirishaji. Hii ni pamoja na matengenezo na matumizi ya ndege za ATCL. PAC imeeleza kuwa hawawezi kutoa maagizo moja kwa moja bali lazima wapitie kwa Katibu Mkuu Wizara ya Usafirishaji.

Angalia:

Kwanini Rais Samia anatumia ndege za ATCL kwa safari zake hata fupi badala ya ndege ya Rais?


Kwa habari kamili fuatilia


Hii ni dalili” ajabu sana, kwa hizo figures Ina maana ATCL doesn’t exist, sasa itakufaje?
 
Umeshajibiwa hapa chini



Na kumbuka kwamba hasara wanazopata mashirika mengine ndio ilikuwa sababu kubwa ya kupinga uendawazimu wa kununua ndege kwa kukurupuka.

Sasa leo mnatumia sababu zilezile mlizokataa kuzisikiliza wakati huo, ikimaanisha bado mna opofu usiotibika.

Suala la kusingizia wahujumu waliopandikizwa ni utopolo mtupu
Kuna jibu gani hapa? Kweli hizi porojo ndizo unaona ni majibu. Be serious
 
Katika kuthibitisha kile ambacho wanasiasa wa upinzani na wananchi kwa ujumla wamekuwa wakikipigia kelele siku zote na serikali kujifanya kiziwi haitaki kusikia, makamu mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya Bunge, Japhet Hasunga, ametoa tamko rasmi kwamba shirika la ndege la Tanzania ATCL liko mahututi na litakufa hivi karibuni.

Itakumbukwa kwamba suala la mkurupuko katika kulifufua shirika la ndege la Tanzania, ATCL, ni jambo lililosemwa sana na watu wa upinzani na Watanzania kwa ujumla, lakini CCM na serikali iliyopo madarakani siku zote hawakutaka kusikiliza na kukebehi ushauri na mapungufu yaliyokuwa yakitolewa na wadau hao.

Kwa kauli hii ya kamati ye fedha, inadhihirisha mtazamo kwamba sio kila ushauri unaotolewa na upande wa upinzani ni mbaya na unapaswa kubezwa kwamba ni harakati za upinzani kupinga kila kitu.

Nukuu ya maneno ya Makamu mwenyekiti wa kamati ya fedha PAC juu ya kuwa mahututi na kifo cha ATCL hivi karibuni iko hapa chini.

View attachment 1916189
Tafsiri; "ukichukua madeni yote ya ATCL, yanayofikia 472.8bln/-, na mtaji wa mali za shirika ambazo ni 256.2bln, na ukatoa thamani ya madeni toka madeni toka mtaji, wanabaki na mtaji ambao ni deni wa 216.6bln, alifafanua (Hasunga), akisisitiza kwamba hii ni dalili kwamba ATCL iko mahututi na itakufa hivi karibuni"

Jambo moja ambalo kamati ya fedha imeliongelea kwa namna ya kukosoa sana na kuonyesha kuwa ni mojawapo ya chanzo cha matatizo ya ATCL ni suala la kwamba ndege za ATCL sio zao ni za serikali kwa hiyo kwa namna fulani ATCL wanakuwa hawana mamlaka kamili kusimamia ATCL, bali mamlaka hayo yako Wizara ya Usafirishaji. Hii ni pamoja na matengenezo na matumizi ya ndege za ATCL. PAC imeeleza kuwa hawawezi kutoa maagizo moja kwa moja bali lazima wapitie kwa Katibu Mkuu Wizara ya Usafirishaji.

Angalia:

Kwanini Rais Samia anatumia ndege za ATCL kwa safari zake hata fupi badala ya ndege ya Rais?


Kwa habari kamili fuatilia

Hivi wewe hao jamaa wanakulipa ngapi kwa kampeni hii? Tunajua wazi unafanyakazi hii kwa malipo. Tujulishane mwenzetu umeahidiwa kupewa kiasi gani?
 
Kwahio na zile ndege tulizoongezea nabado tunaongezea tunazidi kuchoma tu pesa ?
 
Hawa walijinasibu kuwa shirika linajiendesha kwa faida sasa likoje mahututi tena?
 
Sio mbili mkuu nasikia ni 3 tena moja lile likubwa la dreamliner na 2 airbus. Lakini mimi najiuliza, nini kifanyike ili hilishirika lisife? Tunakwama wapi?
Tuna madeni mengi na ndege haziko huru kuruka sehemu nyingi ambazo zingeleta tija.
 
Na hawa majizi bado yanaongeza ndege tu pamoja na hasara ná deni kubwa!!! Hakuna hata kusema ngoja tutafakari kwanza kama ni muhimu kuendelea na hii biashara ya safari za anga kwani kwa miaka mitano hasara ni 354 billions na deni ni 473 billions.
Tuna madeni mengi na ndege haziko huru kuruka sehemu nyingi ambazo zingeleta tija.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom