Kamati ya EAC na PALU wakutana Arusha kujadili Mgogoro wa Burundi

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,288
Kamati inayoshughulikia utatuzi wa migogoro ya ndani ya bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kushirikiana na chama cha wanasheria wa Afrika (PALU) imekutana jijini Arusha kuzungumzia mgogoro wa Burundi na kuandaa mapendekezo ya namna ya kupata suluhu yatakayowasilishwa katika kikao cha bunge la jumuiya hiyo litakaloanza mapema wiki ijayo.

Chanzo: Radio One
 
Ya Zanzubar wanayaona madogo mpaka watu wachinjame kwanza ndiyo waanze vikao, waafrika wanafiki sana
 
Back
Top Bottom