Hawa jamaa chenga kabisa!
Ndugu yako akiwa dalali basi kuwa nae makini sana.
Kazi ya udalali ina mapepo.
Wapo wadogo na wale wakubwa.
Wanaweza kudalalia hata mambo ya hatari cha muhimu wamepewa ofa mezani.
Nashauri ile kamati ya mheshimiwa rais kuhusu Corona ibaki siri/ ifanye kazi kwa siri.
Ikiwekwa wazi tu Makampuni ya chanjo hususani Astra Zenneca watawakamata ili waliponze taifa.
Muasisi wa kazi ya udalali ni LUCIFER.
Ndugu yako akiwa dalali basi kuwa nae makini sana.
Kazi ya udalali ina mapepo.
Wapo wadogo na wale wakubwa.
Wanaweza kudalalia hata mambo ya hatari cha muhimu wamepewa ofa mezani.
Nashauri ile kamati ya mheshimiwa rais kuhusu Corona ibaki siri/ ifanye kazi kwa siri.
Ikiwekwa wazi tu Makampuni ya chanjo hususani Astra Zenneca watawakamata ili waliponze taifa.
Muasisi wa kazi ya udalali ni LUCIFER.