Duh si mchezo manake haya ndiyo yale yaliyoongelewa kule http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=8939 na sasa wameanza kukwangua hivyo nadhani hii kamati ikiwa makini itaweza angalia madudu yote yakiwamo ya mizigo kuchelewa kutolewa bandarini...... Nadhani sasa waheshimiwa kule Bungeni wameanza kuamka na "my take" ni kwamba moto lazima utawaka katika kikao kijacho cha bunge pale mjini Dom (nadhani kuanzia wiki ijayo kama sijakosea)!!!