Januari hajui machungu ya maisha halisi ya vijana wa Kitanzania....
Amekuwa kwenye bahari ya maisha bora tangu akiwa mtoto, ndio maana kila kitu kwake anaona ni cha kufanyia utani tu!
Kwani yeye ni nani hadi isingevunjwa?
Nyota njema huonekana alfajiri mkubwa
3.Na kama alijua je alichukua hatua gani yeye kama kiongozi makini.
4. Na kama alijua hilo kwanini alikubali kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo na wakati alijua hana uwezo wa kufuatilia utendaji wa wizara hiyo?