The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Are you really serious?Pili nitoe masikitiko yangu kuwa nchi hii kuwa na msimamo tofauti na rais ni kosa this is not right.
Unajua maana ya hii kauli yako?
Kwa hiyo hata tukiwa na Rais mwehu na alete wehu wake ktk nchi halafu tukakataa ujinga wake, basi tutakuwa tunafanya kosa, au siyo...?
Kama wewe ni punda au kondoo wa dizaini hiyo, basi huyo ni wewe na kamwe haiwezi kuwa hivyo kwa sisi wengine...!!