Kamati ya ardhi, maliasili na mazingira ya Bunge yailipua serikali tena

PhD

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
4,598
3,671
Hakika Serikali ya JK haibebeki kabisa , leo Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira ya Bunge kwa mara nyingine imemlipua waziri maige na watumishi wa Wizara ya Mali asili na utalii kwa kashfa kubwa ya kugawanya vitalu vya uwindaji wa kitalii kwa rushwa na pia utoroshaji wa wanyama pori kwenda Nje.

Source: nimepata kutoka kwa mtu wangu.( Reliable)
 
Hakika Serikali ya JK haibebeki kabisa , leo Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira ya Bunge kwa mara nyingine imemlipua waziri maige na watumishi wa Wizara ya Mali asili na utalii kwa kashfa kubwa ya kugawanya vitalu vya uwindaji wa kitalii kwa rushwa na pia utoroshaji wa wanyama pori kwenda Nje.

Source: nimepata kutoka kwa mtu wangu.( Reliable)​

Ni kweli kabisaa,mwenyekiti wa kamati Lembeli ndio anaanza kumwaga madudu yao...
 
Taarifa ya Lembeli inaelezea madudu mengi yaliyofanywa na wizara ya Maige. Hivi tutafika???? Inatisha, inasikitisha, inaudhi.
 
Naona Lembeli anahitimisha hoja yake!

Ila hakika amemwaga madudu ya sekta tajwa!
 
Hivi hii Serikali ina la kujitetea mpaka hapo kweli??

Naona yule kilaza anayejiita balozi wa amani ametambulishwa leo tena kama 'mheshimiwa' nimeamini kuna ombwe kubwa sana la uongozi nchi hii!! Wjinga kama hao nao Serikali inawatambua kweli?? Waosha vinywa na wapumbaza wananchi!!

Tumelaaniwa!!
 
Maskini!,
mawaziri wengi ni wezi!!
Tunategemea nini?
Wananchi wenzangu tuchukue hatua
kali. wanatuibia hela zetuuuuu?
 
Hivi huyu Jeykey mbona anakera hivi,inamaana haoni chochote kibaya kinachotokea hapa Tz?mi naona ni bora wote wajiuzuru manake watakiua chama chao moja kwa moja 2015 wanaweza wasipate hata kula moja
 
Kamati imeshauri Waziri na watumishi wa wizara ya maliasili akiwemo Katibu Mkuu WAFUKUZWE MARA MOJA. reasons: WANYAMA PORI HAI WENGI WALITOROSHWA KWENDA NJE NA RUSHWA KUBWA KTK UGAWAJI VITALU VYA UWINDAJI.......etc...
 
Wote wanaotuongoza ni wasanii. Nobody is serious na kinachouma ni kwamba wameifilisi pia nchi.
 
Back
Top Bottom