Wanatembelea nyota ya magufuliWengi hawajui kama kura zitapigwa 2025. Wanasema unaya wa Magufuli bila kujua udhaifu wa viongozi wao.
Wanaumia kuliko sisi wafiwawanahisi kufa kufa.
hiyo ndio tunaita upendo wa kweli
unasema unamchukia mtu,lakini roho yako inakukatalia.
Kwani yule ni mama yako?
Ila sio busara KABISAAAHofu yangu ni kuwa wanaweza kuchochea zaidi watu kutumia hilo jina
So walokufa wote ulitaka magufuli aulize kwa nini fulani kafa? Hivi mnajua kuongoza linchi kilibwa hivi lenye majizi, majambazi hivi ni kazi?Yawezekana aliwaulia ndugu zao. Kwani hujui kuna waliokufa au kupotea kwenye kipindi chake na hakutoa ushirikiano?
Inatishia usalama wa nchiKwa hiyo mwendazake inavuruga amani?
Waulizeni hao wanaopiga marufuku kwani mwendazake bado yupo?Kamati ya Amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.
Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.
Je, unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita Magufuli mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?
Credit Malisa GJ
Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Na mahawara zaoWawapige marufuku waumini wao
Hivi unajua "Luninga" ni nini? Unajua hili nalo lilianzia nchi ya jirani? Maneno kuanzia Tanzania au nchi nyingine si hoja, kikubwa ni kupokelewa na kukubalika katika kamusi na yakatumika na jamii. Luninga liko kwenye kamusi na linatumika na jamii.Kumbe hata hujui maana ya marehemu, na hayati!!!!
Ila wako sahihi 'mwendazake' ni matusi, toka kuzaliwa sijawahi sikia hiyo lugha ikitumika kwa waliotangulia, kama neno lipo kwenye kamusi basi kuna wa lakini mahala, eidha kiswahili hicho ni cha nchi ya jirani na sio tanzania ama waloweka neno kwenye kamusi walikuwa wamekengeuka
Na Luninga unajua limetokea wapi? Sijui kwa nini neno "mwendazake" limeonekana kuwa shida. Kitendo cha kutumika kwa JPM imekua ni tatizo, huko Kenya linatumika sana tu.Mi nafikiri tumeiga kimakosa kiswahili cha kenya. Ni vyema tutumie neno marehemu. Hilo ndio neno tunatumiaga kwa kiswahili chetu.
Siamini kuwa neno mwendazake ni matusi.Pia hiyo maana ya neno hilo kutoka kwenye kamusi uliyoitaja haikidhi Magufuli kuitwa mwendazake.Hajafariki hivi karibuni(ni tangu mwezi march) ,haelekei kuzikwa(alishazikwa) na mipango ya mazishi yake haiendelei.Kwahiyo ni sahihi kusema kuwa kumuita Magufuli mwendazake ni upotofu.Pia Sio sahihi kusema neno mwendazake ni tusi....Kamati ya Amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.
Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.
Je, unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita Magufuli mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?
Credit Malisa GJ
Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani
Mbona tafsiri ya kamusi inabainisha wazi kuwa 'mwenda zake' ni mtu aliyefariki karibuni na mipango yake ya maziko inafanyika.Kamati ya Amani ya viongozi wa dini nchini imepiga marufuku, John Pombe Magufuli kuitwa "mwendazake". Mwenyekiti mwenza wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Peter Konki amesema neno "mwendazake" ni matusi makubwa kwa Magufuli na ametaka wanaotumia neno hilo washtakiwe kwani wanahatarisha amani.
Lakini kwa mujibu wa Kamusi kuu ya Kiswahili ya baraza la Kiswahili nchini (BAKITA) toleo no.2 la mwaka 2017, neno mwendazake linamaanisha "mtu aliyekufa hivi karibuni na anaelekea kuzikwa au mipango ya mazishi yake inaendelea." Mwendazake ni kisawe cha neno marehemu ama hayati.
Je, unaamini neno mwendazake ni matusi? Je wanaomuita Magufuli mwendazake washtakiwe kama alivyoshauri Askofu Konki? Je Askofu apuuzwe, au anunuliwe Kamusi ajifunze Kiswahili?
Credit Malisa GJ
Hawa wazee kazi yao ni kupiga marufuku,au kuhamaisha amani