Huyo Musa, Malasusa na Pengo ni vitendea kazi vya CCM hivyoNashauri Kamati ya Amani ya Viongozi wa dini imfukuze Alhad Mussa katika nafasi yake katika kamati hiyo, amekataliwa Kila sehemu, nadhani hata kwa familia yake. Chochote atakachofanya hakitaungwa mkono na Bakwata.
@chiembeHuyo Musa, Malasusa na Pengo ni vitendea kazi vya CCM hivyo
Ateuliwe tu kuwa RC ama Balozi kwa kazi nzuri ya kuitetea serikali ya CCMNashauri Kamati ya Amani ya Viongozi wa dini imfukuze Alhad Mussa katika nafasi yake katika kamati hiyo, amekataliwa Kila sehemu, nadhani hata kwa familia yake. Chochote atakachofanya hakitaungwa mkono na Bakwata.
Mpumbavu kabisa wewe kaelewane na Sukuma Gang wenzako@chiembe
Kumbe na wewe unaendekeza visasi visivyo na tija?
Akifukuzwa au asipofukuzwa!
Wewe chiembe unaongezewa au kuoungukiwa nini?
Mwenyezi Mungu pekee ndie mwenye mamlaka ya kumkataa Binadamu hapa Duniani.
Wewe pambania Roho na Familia yako!
Unachowaombea wenzako huenda kikakirudi wewe binafsi.
Au uzao wako ukiwa wewe ushaondoka Duniani.
Tuache kutumika kwa maslahi ya wengine!
Nadhani umenielewa.....
Mkuu usisahau kwamaba askofu mkuu wa KKKT Shayo na yule aliyekuwa Kijitonyamama na yule wa Kagera nao ni vitendea kazi vya Chadema achia mbali askofu uchwara Mnyakyusa wa kanisa ambalo hata usajiri halinaHuyo Musa, Malasusa na Pengo ni vitendea kazi vya CCM hivyo
Bakwata ndo niniNashauri Kamati ya Amani ya Viongozi wa dini imfukuze Alhad Mussa katika nafasi yake katika kamati hiyo, amekataliwa Kila sehemu, nadhani hata kwa familia yake. Chochote atakachofanya hakitaungwa mkono na Bakwata.