William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Niliposoma kichwa cha Post hii nilidhani hizi Tsh 400 milioni zilipewa Mwakyembe na fisadi mmoja ili asiandike kwa ukali sana ripoti yake. Kumbe hizi Tsh 400 milioni ni fedha Kamati ya Mwakyembe ilizotumia kukamilisha Ripoti.
Hii Kamati si ilikwenda mpaka Merikani kuthibitisha non-existence ya Richmond?
Naweza kushauri wanaJF, kama Waziri wa Fedha mstaafu aliyependa kubana sana matumizi ya fedha za walipa kodi, kwamba kwa viwango vya sasa, Kamati ya Mwakyembe haikufuja fedha. Tujadili mambo muhimu zaidi.
- Mzee heshima ikufikie popote ulipo, maneno yako ni mazito sana na ubarikiwe.
Respect.
FMEs!