OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,148
- 103,551
Kamati ya kuthibitisha kuandama kwa mwezi Zanzibar ambayo ipo chini ya Ofisi ya Mufti wa Zanzibar, inawajuulisha kuwa, leo Jumamosi, tarehe 24, Juni, 2017 sawa na mwezi 29 Ramadhani, mwezi HAUKUANDAMA. Hivyo, waumini wa kiislamu watakamilisha siku 30 za mwezi wa Ramadhani kesho na Sikukuu ya Eid El Fitri itakuwa Jumatatu tarehe 26, Juni, 2017, na jumanne tarehe 27 Juni 2017 (Eid pili).
Anaripoti Kamanda OKW
Anaripoti Kamanda OKW