ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kurudi inaruhusiwa na inawezekanaMembe asingekimbia goli lilikuwa limebakia wazi kwake
Kurudi inaruhusiwa na inawezekanaMembe asingekimbia goli lilikuwa limebakia wazi kwake
mjinga wewe
Uko sahihi mkuu, ila kumbuka tuko katikati ya msitu na mama amebeba mtoto mgongoni akikatisha msitu huo kisha sauti ya simba wa nyika akiunguruma ndipo mtoto anapata HOFU ya usalama wake na wa mama ananza kulia kwa uchungu huku akiruhsa miguu akitaka mama arudi wamchukue baba ili waambatane kuvuka msitu huo uliojaa wanyama wakali.Intelligence Justice
Mimi nipo sawa tu Mkuu ila najua binadamu hayuko aliyekamilika ndio maana nikasema hiyo ACT ya Mazishi ilisema viongozi wazikwe Dodoma, ila imebadilishwa
sasa Leo tena Zanzibar imeongezeka kwa hiyo Mazishi ni Alhamis huko Chato
Dar na Dodoma wapo palepale
Mungu ampenguvu Mama Samia Suluhu Hassan hasa katika kipindi hiki cha ugeni wake ila atatuongoza vizuri sana
Mswada wa sheria ya eneo la kuzikia viongozi huko Dodoma uliondolewa na eneo lililoteuliwa kugawiwa kwa wananchi.Intelligence Justice
Mimi nipo sawa tu Mkuu ila najua binadamu hayuko aliyekamilika ndio maana nikasema hiyo ACT ya Mazishi ilisema viongozi wazikwe Dodoma, ila imebadilishwa
sasa Leo tena Zanzibar imeongezeka kwa hiyo Mazishi ni Alhamis huko Chato
Dar na Dodoma wapo palepale
Mungu ampenguvu Mama Samia Suluhu Hassan hasa katika kipindi hiki cha ugeni wake ila atatuongoza vizuri sana