Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam

Naona wanamtafutia angle Gwajiboy,
Wanasema anapotosha wakati huo huo wanasema chanjo ni hiari!

Huo upotoshaji wa Gwajima unatoka wapi ikiwa anachokikosoa Ni hiari ya mtu kukipata?

Sure am telling you, this process will no longer be under person's willing, it's going to be a must!!..

Japo Mimi simuamini Gwajima Kama mtumishi wa Mungu Bali Kama mtanzania tu.

Kuna yule waziri mstaafu wa maliasili na utalii ( kigwangala) eti anahimiza watu wawahi kuchanjwa kwa kuwa chanjo ni milioni moja (only 1 million vaccines) ili wasikose, najiuliza hivi ubongo wa huyu jamaa upo sawasawa? Hata tukijitolea siku moja sote tuchanjwe zitatosha

This is a big dilemma
Saaa kama ni hiari kwann unawalazimisha watu wasichaje na ukizingatia yeye ni kiongozi wa dini( japo sina uhakika kama kweli)
 
inaonekana Gwajima alikuwa anamtumikia mtu fulani ila kwa sasa hayupo hivyo kapoteza mwelekeo na hayuko tayari kukubaliana na hali iliyopo.
sasa akubaliane na yatakayo mkuta ndani ya chama chake maaana.
 
Kamati kuu imesema mnaosema Corona ni 666 mchukuliwe hatua.
Heheheeeee ndio maana nimekuambia una uwezo wa kusikia, kuandika, kuongea na kusoma tuu, ila uwezo wako wa kuelewa ni sifuri yaani zero

Hizi ndio akili zenu kina Mdude
 
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM ndani ya ikulu! Si wanadai wana ofisi lumumba kwanini wasiende huko? Alafu samia karudi Dar bila kupepesa macho.
sisi ndiyo chama DOLA- mkiwa nanyi karibuni kwa sasa bakini huko kwenye nchi yenu ya TWITTER na mfalme KIGOGO
 
Walisemaje kuhusu huyo kijana wa mwalimu yaani Freeman Aikaeli Mbowe.

Kuhusu Katiba je.

Gwajima ataendelea kuwa mwanachama

Waambieni sensa hatutaki.
 
Naona wanamtafutia angle Gwajiboy,
Wanasema anapotosha wakati huo huo wanasema chanjo ni hiari!

Huo upotoshaji wa Gwajima unatoka wapi ikiwa anachokikosoa Ni hiari ya mtu kukipata?

Sure am telling you, this process will no longer be under person's willing, it's going to be a must!!..

Japo Mimi simuamini Gwajima Kama mtumishi wa Mungu Bali Kama mtanzania tu.

Kuna yule waziri mstaafu wa maliasili na utalii ( kigwangala) eti anahimiza watu wawahi kuchanjwa kwa kuwa chanjo ni milioni moja (only 1 million vaccines) ili wasikose, najiuliza hivi ubongo wa huyu jamaa upo sawasawa? Hata tukijitolea siku moja sote tuchanjwe zitatosha

This is a big dilemma
Pesa itapigwa huko kwa njia ya kununua dawa
 


TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan.

Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuruhusu chanjo ya virusi vya ugonjwa wa korona (UVIKO 19) Kutolewa nchini na yeye kuwa mfano wa kukubali kuchanjwa ikiwa ni udhibitisho wa usalama wa chanjo hiyo.

Uamuzi wake umetajwa kuwa ni kielelezo cha upendo na uzalendo mkubwa alionao katika kujali afya za watanzania na ni hatua nzuri ya Tanzania kuungana na dunia katika kukabiliana dhidi ya UVIKO-19, pia ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020 - 2025 Ibara ya 83(o) na 84.

Kamati Kuu imeelekeza kuanza kuchukuliwa hatua kwa wale wote wanaokiuka mienendo, taratibu na kanuni za maadili na uongozi kwa mujibu wa katiba ya Chama Cha Mapinduzi.

Aidha Kamati Kuu imefanya uteuzi wa makatibu wakuu wa Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi ambapo Ndugu Gilbert Kalima Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania na Dkt. Philis Nyimbi Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT).


Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Itikadi na Uenezi
29 Julai, 2021.

View attachment 1873394

View attachment 1873395

View attachment 1873397

View attachment 1873398

View attachment 1873399

View attachment 1873400

View attachment 1873401
Wanachelea nini kumshughulikia yule mfufua maiti? Yaani kamtukana raisi na wao wako kimya tu!!!!
 


TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan.

Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuruhusu chanjo ya virusi vya ugonjwa wa korona (UVIKO 19) Kutolewa nchini na yeye kuwa mfano wa kukubali kuchanjwa ikiwa ni udhibitisho wa usalama wa chanjo hiyo.

Uamuzi wake umetajwa kuwa ni kielelezo cha upendo na uzalendo mkubwa alionao katika kujali afya za watanzania na ni hatua nzuri ya Tanzania kuungana na dunia katika kukabiliana dhidi ya UVIKO-19, pia ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020 - 2025 Ibara ya 83(o) na 84.

Kamati Kuu imeelekeza kuanza kuchukuliwa hatua kwa wale wote wanaokiuka mienendo, taratibu na kanuni za maadili na uongozi kwa mujibu wa katiba ya Chama Cha Mapinduzi.

Aidha Kamati Kuu imefanya uteuzi wa makatibu wakuu wa Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi ambapo Ndugu Gilbert Kalima Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania na Dkt. Philis Nyimbi Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT).


Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Itikadi na Uenezi
29 Julai, 2021.

View attachment 1873394

View attachment 1873395

View attachment 1873397

View attachment 1873398

View attachment 1873399

View attachment 1873400

View attachment 1873401
Hivi huu haukuwa mkusanyiko?
 
Back
Top Bottom