Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Intruder hawezi kuwapandia kichwani...2025 itakuwa kazi ngumu kwa mama akimuacha...aliwe tu kibali kanisa tuna revork.....akaanze upya mwanza huko kibali kipyaWanataka kumuwajibisha mwanachama wao? Hayaa!, mbona angejibiwa na mwanachama mwenzake mmoja tu mwenye hadhi sawa na yake? Ya nini chama kumshughulikia mapema wakati hali ya mambo iko sawa tu? Huko ni kumpa credit endapo hali ya mambo itaenda mrama maambukizi yakaongezeka huku watu wamechanjwa wengi
Dodoma kukame sana kusema ukweli.
Dodoma ni mbali sana na ZanzibarHuyu mama seems kesharudisha makao Dar.
Mwenye Dunia Anawachukua Mmoja Mmoja Halafu HawakomiHawa watu🤣,hawa watu,aisee Mwenye Dunia aje aichukue tu 🤣🤣
Kidumu Chama Tawala!!Kidumu Chama Cha Mapindunzi
CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Huyu mama inaonekana dodoma hakupendi kabisaKamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM ndani ya ikulu! Si wanadai wana ofisi lumumba kwanini wasiende huko? Alafu samia karudi Dar bila kupepesa macho.
Ndio maana CCM ipo madarakani kwa muda mrefu tofauti na vyama vingine vya ukombozi barani Afrika kwasababu kinajua kuendana na mahitaji ya wakati, hivyo kuonekana kipya kila wakati huku kikisimamia misingi yake!Wakati wa JPM walimpongeza kwa maamuzi yake,
Wakati wa mama wanampongeza kwa maamuzi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ije katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kama ccm hujaikuta 'vyumba vya kuhifadhia miili'Ndio maana CCM ipo madarakani kwa muda mrefu tofauti na vyama vingine vya ukombozi barani Afrika kwasababu kinajua kuendana na mahitaji ya wakati, hivyo kuonekana kipya kila wakati huku kikisimamia misingi yake!
Hooooyeeee!!!Kidumu Chama Cha Mapindunzi
CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeee
🤣🤣Yenyewe kwa yenyewe ila tutaanza mpango wa kuifarakanisha
Chama kikongwe na BORA KABISA AFRIKA....Mtaanza kulana mda si mrefu
Chama kikongwe na BORA KABISA AFRIKA.....Dah....safari ni ndefu sanaaa