Huyu dada akijua kutafakari vizuri, ni bora arudi na kuomba samahani! Inauma sana amejenga jina sana lakini anakuja kupoteza jina na heshima yake kwa sababu ya vipande 30 vya fedha!!!! So sadHunijui sikujui ila nimekuwa mfuasi wako siku zote.Mimi ni mwalimu tena wa shule ya wasichana,nimekuwa nikiwahimiza na kuwaasa waige mfano wako maana wewe Ni mwanamke shupavu na mfano wa kuigwa.Nakuomba rudi kwenye mstari,kuombe msamaha chama chako,ulinde heahima na reputation ulitumia muda mwingi kuijenga.Ulikuwa binti mdogo ungekuwa unakula bata na kujirusha lakini hukufanya hivyo,nakuomba linda heshma uliyoijenga,omba msamaha chama kitakusamehe.