Kamati Kuu ya CHADEMA... Ni kina NANI?

Kuwa dini moja, kutoka ukanda moja au hata kabila moja inawezekana isiwe tatizo, lakini tujuilize pia influence Yao kwenye maamuzi ikoje? Je ni kwa kiasi gani maamuzi ya kk yanakuwa balanced kwenye mambo makubwa kama haya bila kuegemaa ukanda na ukabila?

Ni kwa nini baadhi ya wale wanaotokea maeneo tofauti ndiyo wanaelekea kupinga maamuzi? Kwa nini wote wale wa kaskazini wameunga mkono maamuzi Yale?

Je haiwezekani hii ikawa ni matokeo ya damu nzito kuliko maji?
 
Katiba ya vyama vingi (many parties) ikiwemo vya siasa, huwa ina kipengere kwamba ili maamuzi yoyote yawe sahihi ni lazima Akidi iwe zaidi ya theluthi mbili.

Halafu katika hiyo theluthi mbili na zaidi, ili maamuzi yawe yamepitishwa kwa kauli moja ni lazima (50+1)% ya akidi iwe imeridhia.

Nina hakika kipengere hiki hata kwenye katiba/kanuni/taratibu za CHADEMA lazima kitakuwepo.

*Akidi: Idadi ya wajumbe wanaohudhuria mkutano fulani (tafsiri ni kwa maneno yangu).

Wewe umeiona katiba ya CHADEMA. Kwanza inabadilishwa kila kukicha maadam itamlenga anayekusudiwa.

Kwa taarifa katika kipengele hicho chasema hivi. Suala litapitishwa na kamati kuu, ikiwa baada ya wajumbe kupiga kura na baada ya kuhesabiwa, Kura zilizo nyingi kati ya ndio/hapana (kuunga mkono/kutounga mkono) ndio zitakuwa zimeshinda.

Tafsiri nyepesi ya kipengele hicho ni kwamba kama wjumbe waliohudhuria ni 10. Kati yao 8 wakasema NDIO na 2 HAPANA. Basi jambo ndio limeshapitishwa.
 
The Boss usifikiri utapata majibu yanayostahiki, subiria dharau na kejeli tu
hao ndo BAVICHA

Nilikuwa sijui kama Baregu alikuwa kwenye kamati kuu ya CHADEMA....niko curious kujua the rest.

=============

Nnimepata hii

1. Freeman Mbowe
2. Wilbroad Slaa
3. Tundu Lissu
4. Peter Kibatara
5. Said Issa Mohamed
6. Suzan Lyimo
7. Suzan Kiwanga
8. Lazaro Maasai
9. Anthony Komu
10. Benson Kigaila
11. John Mnyika
12. Wilfed Lwakatare
13. Said Mzee Said
14. John Mrema
15. Ezekiel Wenje
16. Nassor Ally Salim
17. Godbless Lema
18. Grace Kihwelu
19. John Heche
20. Alex Kisurura
21. Nyangaki Shilungushile
22. Chiku Abwao
23. Japhery Michael
24. Mabere Marando
25. Hamad Yusuph
26. Shida Salum
27. Edson Mbogoro
28. Peter Msigwa
29. Mwanamrisho Abama
30. Prof. Baregu
31. Prof. Safari
32. Silvester Masinde
 
The Boss,
Nini unataka ku Conclude baada ya kuijua CC Tukufu ya CHADEMA ilifanya Maamuzi sahihi Kabisa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu The Boss namba 26 Shida Salum huyu ni Mama yetu Mama Zitto .

I am curious na list ya Udini na Uchaga iliko .
 
ROWSING THE "KAMATI KUU" CATEGORY



[h=3]Mh. Peter Kibatara[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu...
Read More

[h=3]Mh. Tundu Lissu[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMwanasheria Mkuu wa CHADEMA...
Read More


[h=3]Mh. Freeman Mbowe[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMwenyekiti wa CHADEMA Taifa...
Read More

[h=3]Mh. Said Issa Mohamed[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMakamu Mwenyekiti Zanzibar...
Read More


[h=3]Dr. Wilbrod Slaa[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsKatibu Mkuu Taifa na Mwenyekiti wa Sekretarieti...
Read More

[h=3]Sylivester Masinde[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chama...
Read More


[h=3]Prof. Mwesiga Baregu[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMjumbe wa Kamati Kuu...
Read More

[h=3]Prof. Abdallah Safari[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMjumbe wa Kamati Kuu...
Read More


[h=3]Mchg. Peter Msigwa[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge wa Iringa Mjini...
Read More

[h=3]Mh. Mwanamrisho...[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge Vitimaalum Zanzibar...
Read More



1
234
 
Maamuzi ya kwenye vyama huangalia asilimia wa watu wanaounga mkono hoja husika, si lazima kinachoungwa kiwe na maslahi kwa chama husika.
 
Hebu twende Lumumba na CUF then tuambiane ratio ikoje.. Tusiamini sana kwenye kuhesabu watu; as far as kwamba hakuna unyanyasaji (official) wa kidini; then tuache kuchafua mantiki za kidini. Tukiangalia hata ratio za makabila, kwa haraka haraka, kuna makabila mengine mengi tu, unless hujui majina ya koo za makabila mengine..

Labda mimi sijaelewa kitu hapa, wadau wengine wanaweza ongezea dondoo...

kwa hiyo unataka chadema kifanane na ccm na cuf? Hivi nikiamini wewe ni miongoni mwa watu wanaofuata tu mkunbo hawajielewi kwanini wanaunga mkono chadema, sidhani kama utanilaumu kwa kuamini kuwa unafikiria kwa kutumia kile kiungo kinachokataga kinyesi cha mwanadamu kabla hakijadondoka kutoka tumboni..
 
ROWSING THE "KAMATI KUU" CATEGORY



[h=3]Mh. Peter Kibatara[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu...
Read More

[h=3]Mh. Tundu Lissu[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMwanasheria Mkuu wa CHADEMA...
Read More


[h=3]Mh. Freeman Mbowe[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMwenyekiti wa CHADEMA Taifa...
Read More

[h=3]Mh. Said Issa Mohamed[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsMakamu Mwenyekiti Zanzibar...
Read More


[h=3]Dr. Wilbrod Slaa[/h]


December 2, 2013 - 0 CommentsKatibu Mkuu Taifa na Mwenyekiti wa Sekretarieti...
Read More

[h=3]Sylivester Masinde[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chama...
Read More


[h=3]Prof. Mwesiga Baregu[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMjumbe wa Kamati Kuu...
Read More

[h=3]Prof. Abdallah Safari[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMjumbe wa Kamati Kuu...
Read More


[h=3]Mchg. Peter Msigwa[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge wa Iringa Mjini...
Read More

[h=3]Mh. Mwanamrisho...[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge Vitimaalum Zanzibar...
Read More



1
234
 
BROWSING THE "KAMATI KUU" CATEGORY



[h=3]Shida Salum[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMjumbe wa Kamati Kuu...
Read More

[h=3]Edson Mbogoro[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMjumbe wa Kamati Kuu...
Read More


[h=3]Mabere Marando[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMjumbe wa Kamati Kuu...
Read More

[h=3]Mh. Hamad Yusuph[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsNaibu Katibu Mkuu Zanzibar ...
Read More


[h=3]Mh. Chiku Abwao[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge Vitimaalum...
Read More

[h=3]Mh. Japhary Michael[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMeya wa Manispaa ya Moshi...
Read More


[h=3]Mh. Alex Kisurura[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMeya wa Mji wa Musoma...
Read More

[h=3]Nyangaki Shilungushela[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA...
Read More


[h=3]Mh. Suzan Lyimo[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsKaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA) Mjumbe wa Kamati Kuu...
Read More

[h=3]Mh. John Heche[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA)...
Read More



1
2
34
 
kama wezi , mafisadi, majangili, wazinzi , wabakaji na wabaya wote unaowajua wana dini zao , unadhani dini inakusaidia nini?

Ha ha ha acha kujifanya huelewi lugha swali ni kuwa sifa zao za kuteuliwa ni zipa na wanapatikanaje?????!!!!

Hili litaondoa ukungu wote acha blah blah
 
BROWSING THE "KAMATI KUU" CATEGORY



[h=3]Mh. Godbless Lema[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge wa Jimbo la Arusha Mjini...
Read More

[h=3]Mh. Grace Kiwelu[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge wa Vitimaalum...
Read More


[h=3]Mh. Ezekia Wenje[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMbunge wa Nyamagana Jijini Mwanza...
Read More

[h=3]Nassor Ally Salim[/h]


December 1, 2013 - 0 Comments...
Read More


[h=3]Said Mzee Said[/h]


December 1, 2013 - 0 Comments...
Read More

[h=3]Mh. John Mrema[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMkurugenzi wa Bunge na Halmashauri...
Read More


[h=3]Mh. John John Mnyika[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya Ndani...
Read More

[h=3]Mh. Wilfred Lwakatare[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMkurugenzi wa Ulinzi na Usalama...
Read More


[h=3]Mh. Anthony Komu[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji...
Read More

[h=3]Mh. Benson Kigaila[/h]


December 1, 2013 - 0 CommentsMkurugenzi wa Mafunzo na Uratibu wa Kanda...
Read More



12
3
4
 
Ha ha ha acha kujifanya huelewi lugha swali ni kuwa sifa zao za kuteuliwa ni zipa na wanapatikanaje?????!!!!

Hili litaondoa ukungu wote acha blah blah
OLESAIDIMU

HOPE UMEELEWA SASA AU KUNA JINGINE?

7.7.14 Wajumbe wa Kamati Kuu watakuwa:-
(a) Mwenyekiti waTaifa
(b) Makamu Mwenyekiti Bara.
(c) Makamu Mwenyekiti Zanzibar
(d) Katibu Mkuu
(e) Naibu Katibu Mkuu Bara
(f) Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
(g) Wawakilishi watano wa Wabunge wa Bunge la Muungano.
(h) Wajumbe watatu toka Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
(i) Wajumbe nane waliochaguliwa na Baraza Kuu kuingia Kamati Kuu kwa uwiano wa
nusu kwa nusu wanaume na wanawake na mjumbe mmoja kutoka kila kundi atoke
Zanzibar.
(j) Wawakilishi watano wa madiwani wa chama, wawili wakiwa madiwani wa kawaida
na watatu wawe Wenyeviti wa Halmashauri zinazoongozwa na Chama. Wajumbe
hawa watachaguliwa na umoja wa madiwani wa Chadema.
(k) Wenyeviti wa Mabaraza ya Vijana, Wanawake na Wazee ngazi ya Taifa.
(l) Wajumbe wateule wasiozidi sita watakaoteuliwa na Mwenyekiti Taifa kwa
kushauriana na Katibu Mkuu na kuthibitishwa na Baraza Kuu. Angalau wawili wawe
wanawake.
(m) Wenyeviti Wastaafu wa Chadema.
(n) Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni au Waziri Mkuu atokanaye na Chadema.
(o) Kiongozi wa kambi ya upinzani au Waziri Kiongozi kwenye Baraza la Wawakilishi
atokanaye na Chadema.
(p) Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya Chadema.
(q) Rais wa Zanzibar atokanaye na Chadema
(r) Spika wa Bunge na Spika wa Baraza la Wawakilishi watokanao na Chadema.
(s) Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini atakuwa mjumbe asiye na kura.
(t) Wakurugenzi wa kurugenzi za chama watakuwa wajumbe wasio na kura.
 
Last edited by a moderator:
OLESAIDIMU

NA KAZI ZAO NI HIZI HAPA:-

7.7.16 Kazi za Kamati Kuu zitakuwa:-
(a) Kufanya utafiti wa wagombea na wa Uraisi na Mgombea Mwenza na kuwasilisha
ripoti zake kwa Baraza kuu kwa ajili ya mapendekezo yake kwa Mkutano Mkuu.
(b) Kuteua Wakurugenzi wa Idara Kuu za Chama Makao Makuu
(c) Kuteua Makatibu wa Wilaya na Mikoa
(d) Kuthibitisha uteuzi wa Sekretarieti za Wilaya.
(e) Kutoa mapendekezo kwa Baraza Kuu juu ya rufaa za uchaguzi na kinidhamu.
(f) Kuandaa na kutoa Mapendekezo kwa Baraza Kuu, Mikakati ya kuendesha shughuli
za Chama kwa kila mwaka na kwa kipindi cha miaka mitano.
(g) Kuandaa na kutoa mapendekezo kwa baraza Kuu , Mikakati ya kupata mahitaji ya
raslimali za kuendesha kampeni za wagombea wa Chama katika chaguzi za kiserikali.
(h) Kuandaa na kutoa mapendekezo kwa Baraza kuu ratiba na maelekezo ya uchaguzi wa
kichama.
(i) Kupitia na kutoa kwa Baraza Kuu mapendekezo ya haja ya kuzifanyia marekebisho au maboresho Kanuni za Chama ama Katiba ya Chama.(j) Kujadili taarifa za Sekretarieti ya Kamati Kuu na kutoa maamuzi na maelekezo kwa
utekelezaji.
(k) Kusimamia utendaji kazi wa Sekretarieti ya Kamati Kuu
(l) Kufanya mapitio ya Sera za Chama na kutoa mapendekezo kwa Baraza Kuu kwa
kuzingatia matokeo ya Utafiti uliofanywa na Sekretarieti ya Kamati Kuu.
(m) Kusimamia utekelezaji wa maamuzi na maelekezo ya Baraza Kuu na Mkutano
Mkuu.
(n) Kuwa kiungo na kudumisha mahusiano mema kati ya Chama na vyama vingine vya
siasa nchini, Afrika Mashariki na nchi nyingine.
(o) Kuthibitisha ajira za watumishi wakuu wa Chama ngazi ya Taifa.
(p) Kuteua kamati au tume za kushughulikia masuala maalum ya kichama kwa muda
maalumu.
(q) Kuteua wakaguzi wa mahesabu ya Chama kwa kila mwaka
(r) Kuthibitisha uteuzi wa wagombea Uspika, Ubunge na Baraza la wawakilishi
Zanzibar
(s) Kuandaa agenda za Baraza Kuu na Mapendekezo ya agenda za Mkutano Mkuu.
(t) Kufanya uamuzi juu ya mpendekezo ya kufukuza Mwanachama.
(u) Kuandaa hoja za kupelekwa Bungeni na Wabunge wa Chama
(v) Kumwachisha ujumbe wa Kamati Kuu mjumbe mteule ambaye ataenda kinyume na
katiba, kanuni na maadili au kushindwa kukidhi matakwa ya kuteuliwa kwake.
(w) Kuratibu utendaji wa ofisi ndogo ya Makao Makuu Zanzibar.
(x) Kusimamia utendaji kazi wa Mabaraza ya Vijana, Wanawake na Wazee.
(y) Kuteua wajumbe maalum wawili kuingia Kamati ya Utendaji ya Jimbo/Wilaya.
 
Last edited by a moderator:
Bwana mdogo mdomo wako huu unaweza kukuponza, tafakari kabla ya kutenda sawa? Sikutegemea kuwa nawe ni miongoni mwa watu wasiokuwa na akili timamu. Kumbe we ni nyoka.
 
Ni siri ya CHAMA. Kwanza ulifanikiwaje kumtambua Beregu? Au nawe uko kwenye mapinduzi ya CHAMA katika waraka wa ushindi.

Kamwe hatutatoa majina yao kwa usalama wao na usalama wa chama, kwani wanaweza kununuliwa hasa katika suala hili la Zitto na fukuza fukuza inayoendelea.

Watabaki wachaga watupu,hata msipowataja chadema kwishnehi,mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe,hasara kwenu na hamtakuwa hai tena na ubaguzi wenu wa kichaga huo.
 
Back
Top Bottom