Hahahaa hapo atafukuzwa huyo mnyamwezi.......yule Mangi wa Moshi vijijini thubutu!!!!!Hakuna jipya hawatakuwa wa kwanza kufukuzwa Chadema.
Unge andika kwa herufi kubwa kuonyesha msisitizoHao hata mimi nimebadili msimamo ni bora wafukuzwe tu.
Asiye na mwana aeleke jiwe. Je, kwa mara ya kwanza CHADEMA itakubali kuwafukuza Wabunge wake? Je, wako tayari kupoteza ruzuku ya kila mwezi kutoka serikalini, mbali na milioni moja (500,000 kila Mbunge) wanayokatwa na Chama kila mwezi?
View attachment 899457View attachment 899456
Asiye na mwana aeleke jiwe. Je, kwa mara ya kwanza CHADEMA itakubali kuwafukuza Wabunge wake? Je, wako tayari kupoteza ruzuku ya kila mwezi kutoka serikalini, mbali na milioni moja (500,000 kila Mbunge) wanayokatwa na Chama kila mwezi?
View attachment 899457View attachment 899456
Kwenye kongamano la kigoda cha Mwalimu majuzi kati pale UDSM katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru alisema wazi wazi mbele ya hadhara / umma kwamba kwenye chama chanke kuna wezi wakubwa sana na hata ruzuku haileweki inafanya nini. Akaenda mbali zaidi kusema mmoja wa wezi alimnyang`anya gari barabarani.Hiki chama atabaki Mbowe tu na bavichaa wake wachache aliowasambaza mtandaoni kumtetea kila anapokula ruzuku ya chama na kuzaa na wabunge wa viti maalumu.
Chama kinafuata mtu, badala ya mtu kufuata chama alafu eti utawakuta kwenye korido za ufipa wakijisifu in wanachama wasomi.
Hovyo kabisa.
Wasipofukuzwa pia usije ukawa wa kwanza kupongeza kuwa wamefanya maamuz mazur, tunakujua huwa hukawii kubadili gia.Hao hata mimi nimebadili msimamo ni bora wafukuzwe tu.
Fact walahiHiki chama atabaki Mbowe tu na bavichaa wake wachache aliowasambaza mtandaoni kumtetea kila anapokula ruzuku ya chama na kuzaa na wabunge wa viti maalumu.
Chama kinafuata mtu, badala ya mtu kufuata chama alafu eti utawakuta kwenye korido za ufipa wakijisifu in wanachama wasomi.
Hovyo kabisa.
HahahahaCHADEMA Ni wahuni ukute ndo wamemteka hata Mlio wa Ng'ombe
Hatari sana hawa watuHahahaha