Kamati kuu ya Chadema Kukutana Jumamosi 9, Dar es Salaam ambapo pamoja na maswala mengine itajadili agenda moja maalum ya hali ya siasa nchini

ChangeTZ

Member
Nov 13, 2018
52
129
Kamati Kuu ya CHADEMA itakutana tarehe 7 Februari 2019. Katika kikao hicho, mada kuu itakuwa hali ya kisiasa nchini. Katika kikao hicho, watajadili pia mgombea mtarajiwa 2020 kupitia CHADEMA.
 
Kuna tetesi kuwa, Kamati Kuu ya CHADEMA itakutaka tarehe 7 Februari 2019. Katika kikao hicho, mada kuu itakuwa hali ya kisiasa nchini. Katika kikao hicho, watajadili pia mgombea mtarajiwa 2020 kupitia Chadema.
Ulipofika kwenye maneno "watajadili pia mgombea mtarajiwa 2020 kupitia Chadema" nikajua huu ni uzushi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm watahonga wajumbe wote wa mkutano mkuu chadema wampitishe Lowassa badala ya Lissu.
 
Ni muda muafaka watangaze maandamano ya amani kuunga mkono kauli za mzalendo Lissu kudai haki.
Jiwe atatoa vitisho vikali kupinga maandamano hayo na dunia nzima itamwamini Lissu na kuwa upande wa wapinzani.
Jukumu la kudai haki na demokrasia nchini sio la Lissu peke yake.
Muda huu ambao anaomngea na vyombo vya habari vya kimataifa chadema impe ushirikiano dunia itambue ccm ni chama cha wachache kwa maslahi ya wachache, ni chama cha kishetani na kigaidi.
 
chadema.jpg
 
hilo ndilo la maana wastaafu tutakuwa mstari wa mbele kwa jinsi tunavyoteseka kwa kutolipwa mafao yetu
 
Maazimio

Kusikitishwa Na hali ya kudorora Demokrasia Hapa Nchin Na bla Blaa kadhaa then wanasiani sitting allowance Maisha yanaendelea
 
SIASA SIO UADUI, ipo siku CDM na SSM watakula pamoja na kunywa, kufanya kazi pamoja maana nchi ni moja
 
Ni njia ya Wahuni na majambazi waliojificha katika mwamvuli wa Chama Siasa kupiga hela za Ruzuku kwa kugawana posho za vikao.
 
Ni muda muafaka watangaze maandamano ya amani kuunga mkono kauli za mzalendo Lissu kudai haki.
Jiwe atatoa vitisho vikali kupinga maandamano hayo na dunia nzima itamwamini Lissu na kuwa upande wa wapinzani.
Jukumu la kudai haki na demokrasia nchini sio la Lissu peke yake.
Muda huu ambao anaomngea na vyombo vya habari vya kimataifa chadema impe ushirikiano dunia itambue ccm ni chama cha wachache kwa maslahi ya wachache, ni chama cha kishetani na kigaidi.
Na ndicho kinakupa jeuri ya kuropoka hapa Jamii Forum.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu anaonekana kum-frustrate Lowasa, mwekezaji mkubwa Chadema akitarajia kugombea urais 2020, lakini Lissu tayari amekwisha kujitangazia nafasi hiyo bila kupitia vikao rasmi vya chama chake.

Watamtangaza kama mgombe wao wa 2020 ili kongeza ushawishi kwa dunia hata kama siyo yeye atakaesimamishwa 2020, ili watu waendelee kuicheza ngoma vizuri...........
 
Back
Top Bottom