Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,452
Kamati kuu ilikaa lini na wapi?Sasa wewe MATAGA utajuaje kama alichosema Lissu hakikuwa msimamo wa chama/Kamati Kuu?
Mbona vikao vingine mnataarifiwa tena kabla hata ya kukaa mnajukishwa siku flani kamati inakaa.
Katika hili hiyo kamati ilikaa lini?