johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,551
- 141,360
- Thread starter
- #101
Mbowe anatakiwa kuileta kwa maandishi kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru!Vipi hoja ya maridhiano iliwekwa mezani au mwenyekiti kaamua kubaki nayo moyoni?
Mbowe anatakiwa kuileta kwa maandishi kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru!Vipi hoja ya maridhiano iliwekwa mezani au mwenyekiti kaamua kubaki nayo moyoni?
Kwani takwa lile alipewa bashiru? Na bashiru kawa rais wa jmt tangu lini?Mbowe anatakiwa kuileta kwa maandishi kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru!
Serikali ni ya CCM na kwahiyo jambo lolote kubwa ni lazima lipate baraka za chama.Kwani takwa lile alipewa bashiru? Na bashiru kawa rais wa jmt tangu lini?
Maridhiano ya kitaifa hayawezi kuongozwa na ccm Bali msuluhishi huru asiye na itikadi! Bashiru ni mwalikwa tu!
Na ccm siyo bashiru! Don't confuse yourself and others!Serikali ni ya CCM na kwahiyo jambo lolote kubwa ni lazima lipate baraka za chama.
Bashiru ndio mtendaji mkuu wa CCM.Na ccm siyo bashiru! Don't confuse yourself and others!
Haiyumkini wewe ni mnufaika wa hii migogoro ya political imbalance inayotokea hapa nchini kwani hutaki kabisa katiba ifuatwe inavyopasa!Bashiru ndio mtendaji mkuu wa CCM.
Hata kama Mbowe atakubaliwa ombi lake Dr Bashiru ndio ataunda timu ya CCM katika maridhiano hayo itakayoongozwa na Kibajaji akisaidiwa na Waitara!
Nimeisoma mahali kuwa huko Mwanza kwenye kikao cha CCM imetamkwa kuwa wapinzani wameiongezea CCM ruzuku ya zaidi ya 1 billion.
Nimesononeka na kukatishwa tamaa na mambo haya. Hulka ya binadamu ni kufanya makosa lakini kujisifia kwa makosa uliyofanya ni jambo ambalo halitegemewi katika ulimwengu wa waungwana na watu wanaomtaja Mungu.
Hivi ghiliba na hekaheka zilizofanyika za kushawishi watu wahame vyama ni jambo la kujisifia hadharani?
Jamani, tayari Tanzania ni ya kijani na itakuwa kijani zaidi mwaka kesho hatuna haja ya kujisifia kwa mambo ambayo dhamira zetu zinatusuta.
Go back to my post. I am concerned with moral obligations and not politics.Kumbuka unaowashutumu wana haki ya kujisifia kama wewe ulivyo na haki ya kuwapinga kujisifu.
Nadhani ungewalaumu ambao waliweka wagombea ambao hawajui itikadi ya chama kilichowapa tiketi ya kugombea! Kumbuka ukipanda mahindi usitegemee utavuna mtama!
Don't blame the player, blame the political game!
So u count this as archivement?Nimeisoma mahali kuwa huko Mwanza kwenye kikao cha CCM imetamkwa kuwa wapinzani wameiongezea CCM ruzuku ya zaidi ya 1 billion.
Nimesononeka na kukatishwa tamaa na mambo haya. Hulka ya binadamu ni kufanya makosa lakini kujisifia kwa makosa uliyofanya ni jambo ambalo halitegemewi katika ulimwengu wa waungwana na watu wanaomtaja Mungu.
Hivi ghiliba na hekaheka zilizofanyika za kushawishi watu wahame vyama ni jambo la kujisifia hadharani?
Jamani, tayari Tanzania ni ya kijani na itakuwa kijani zaidi mwaka kesho hatuna haja ya kujisifia kwa mambo ambayo dhamira zetu zinatusuta.
There's no moral obligation in politics.Go back to my post. I am concerned with moral obligations and not politics.
How on earth can you go and applaud for an immoral thing you have done?
Immoral thing kivipi? Kwani waliohama si watu wazima na akili zao timamu?Go back to my post. I am concerned with moral obligations and not politics.
How on earth can you go and applaud for an immoral thing you have done?