Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,224
🤣Niliwahi kuuliza uwezo wa huyu mwenyekiti kupambanua mambo nikaambiwa nawachukia wanawake.
Mwigulu ana makusudi yake dhidi ya huyu mama asiyeelewa kinachoendelea.
Nilifungua Uzi kumkumbusha ujanja wa Mwigulu kutaka yeye achukiwe wapambe wakaja juu. Mwigulu ni jipu changa likiiva litapasuka na Mtu.