Ndio ulivyoambiwaBashe,Nape kupigwa nyundo
Ndio umeandika nn?Ushauri wa bure kwa Juma Pombe Maharagwe,aatangaze tu kuwa Katibu Bonge ameomba kustaafu ama anasubiri kupangiwa kazi nyingine na kuwa sasa wanamchagua Katibu Bonge mwingine,sarakasi za kusema katumwa kwa karumanzila akaaguliwe mara mwanae huko Ulaya kapigwa zongo haina mashiko!!!!
Mtu aliyeweka mgomo baridi kwa kupishana utashi na akaamua kusimamia msimamo wake basi kubaliana kutokubaliana ama msikilize ama mtengue kama hutaki mawazo yake!!
Unaota wewe!Bashe,Nape kupigwa nyundo