wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Tutarajie wabunge fulani na fulani kuonywa au kuitwa kwenye kamati ya maadili
Tutarajie wabunge fulani na fulani kuonywa au kuitwa kwenye kamati ya maadili
Vikao vitafanyika ndani ya IKULU kwa sababu mwenyekiti wa CCM ndiye Rais wa nchi na anaishi humo Ikulu. Wapinzani nao walishaambiwa kuwa wakitaka kufanya vikao vyao, na wao wanakaribishwa kufanyia ndani ya ikulu.Tunaomba vikao vyenu fanyieni Lumumba au Dodoma au mkodi hotel na siyo kugeuza ikulu sehemu ya wahuni kukutania.
dunia ni kama kijijiAgenda na. 1
Jee yaliyotokea Zimbabwe yanaweza kutokea hapa kwetu?
Katibu!
Katibu yupi? Huyu ambaye yuko hostage kama Mugabe?Agenda na. 1
Jee yaliyotokea Zimbabwe yanaweza kutokea hapa kwetu?
Katibu!
Wa Tz. wapi hao wanaokiamini hicho chama hadi leo? labda wale wasio na uelewa wowote au elimu kabisa!ccm kinaendelea kuaminika na watanzania
Watanzania halisi, na sio wale feki wa mitandaoni kama vyama vingine feki.Wa Tz. wapi hao wanaokiamini hicho chama hadi leo? labda wale wasio na uelewa wowote au elimu kabisa!
Ni wakati muhimu kwa kamati kuu na halmashauri kuu itathimini miaka miwili ya utawala wa awamu ya tano. Ni vizuri vikao hivi vitumike kwa kina mwelekeo wa uchumi wa Tanzania kwa ujumla. kama kuna kasoro yeyote vikao hivi visisite kumshauri Mwenyekiti wa Chama.