Kamati Kuu CHADEMA yawavua Uanachama Madiwani 5 walioingia muafaka Arusha

Samahani bosi wangu; hapo kwenye red sijakupata vizuri. Tukienda kwa arguments na conclusions hizo hakuna asiye mhuni; duniani hadi Mbinguni. Mfano rahisi tu: dini zote zinazoamini uwepo wa shetani zinakubaliana kwa jambo moja kwamba hapo mwanzo huyu ambaye leo anaitwa shetani alikuwa malaika wa nuru lakini baadaye akaasi. Huwezi ku-conlude kwamba kwa kuwa malaika/shetani aliasi (UHUNI) basi na Mungu mwenyewe ni "mhuni".

Daima naamini tabia chafu (UASI
, UFISADI, n.k) ni tabia ya mtu binafsi ila inapotokea mamlaka husika kwa mujibu wa kanuni na taratibu stahiki zichukue hatua bila kusita. Hata shetani/malaika alitimuliwa kutoka Mbinguni mara moja ili kuondoa uozo wake. UBARIKIWE.




Yaani unadiriki kusema kuwa Mungu ni mhuni? Ni mara yangu toka kuzaliwa kusikia jamb kama hili. Hii akili ya CHADEMA ni hatari kwa ustawi wa dunia hii.

Kwanza mimi sio CHADEMA ila kwa kuwa ume-quote post yangu; isome vizuri kisha nioneshe ni mahali gani nimesema "Mungu ni mhuni". Tumia ubongo wako wewe. Nimesema hivi:

"Huwezi ku-conlude kwamba kwa kuwa malaika/shetani aliasi (UHUNI) basi na Mungu mwenyewe ni mhuni".

Mbona unanyofoa vijimaneno kwenye sentensi yangu na kuacha maneno mengine? Usinichonganishe na Muumba wangu tafadhali.
 
let then wear again their magamba, walipokelewa vema CDM lakin bado wananuka ccm. Cdm ondoa uchafu chamani.
<br />
<br />
CCM mnawaita MAGAMBA na hao ccm wakivuliwa magamba CDM huwapokea na kuwavisha MAGWANDA no deference hata akina Slaa na wengine wengi ndani CDM are not fresh, their there just for bread not for people,ndio maana ya hizi conflict. Sasa mnapatana nini na Pinda chini Tendwa? Si mngechukua hatua hiyo kabla ya kufukuzana?
 
<br />
<br />
CCM mnawaita MAGAMBA na hao ccm wakivuliwa magamba CDM huwapokea na kuwavisha MAGWANDA no deference hata akina Slaa na wengine wengi ndani CDM are not fresh, their there just for bread not for people,ndio maana ya hizi conflict. Sasa mnapatana nini na Pinda chini Tendwa? Si mngechukua hatua hiyo kabla ya kufukuzana?

Mkuu, hapo kwenye red; ukisoma vizuri tamko la CHADEMA mazungumzo kati ya PM na Mbowe ni juu ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa umeya Arusha na kiini cha mgogoro hasa ni "KUTOFUATWA KWA TARATIBU ZA UCHAGUZI WA UMEYA", thats all. Hivyo hao madiwani wawepo au wasiwepo is not an issue; issue ni "taratibu sahihi za kumpata Meya wa Arusha".
 
Salaam wana JF wote. Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa michango mbalimbali humu jamvini. Natumia fursa hii kupiga hodi jamvini na kuwasalimu wana JF wooote. Naanza kwa kuupongeza uamuzi wa Kamati Kuu CHADEMA kuwavua Uanachama Madiwani 5 walioingia muafaka Arusha. Nakiri kuwa uamuzi huo ulikuwa mgumu lakini umetoa taswira halisi ya CDM katika kusimamia MISINGI yake mikuu, hata kama misingi hiyo inaweza kuhatarisha chama kupoteza viti hivyo katika uchaguzi wa marudio. Kwa maoni yangu, naamini na ya wengine wengi, uamuzi huo umetoa picha kwa kila mwana CDM, kiongozi na mwanachama kwamba CDM imejengwa katika misingi ya NIDHAMU, na ipo tayari kuilinda, kuitetea na kuisimamia misingi yake, hata kama gharama ya kufanya hivyo ni kubwa kwa chama. Endapo kwa kuanzia vyama vyote vingedumisha hili, siasa za Tanzania zingeweza kuwa na sura tofauti na sasa na kwa dhati viongozi wa kisiasa, hasa wa Chama kilichopo madarakani wangeweza kuwa mfano na kioo cha jamii. Big Up Chadema...!
 
Salaam wana JF wote. Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa michango mbalimbali humu jamvini. Natumia fursa hii kupiga hodi jamvini na kuwasalimu wana JF wooote. Naanza kwa kuupongeza uamuzi wa Kamati Kuu CHADEMA kuwavua Uanachama Madiwani 5 walioingia muafaka Arusha. Nakiri kuwa uamuzi huo ulikuwa mgumu lakini umetoa taswira halisi ya CDM katika kusimamia MISINGI yake mikuu, hata kama misingi hiyo inaweza kuhatarisha chama kupoteza viti hivyo katika uchaguzi wa marudio. Kwa maoni yangu, naamini na ya wengine wengi, uamuzi huo umetoa picha kwa kila mwana CDM, kiongozi na mwanachama kwamba CDM imejengwa katika misingi ya NIDHAMU, na ipo tayari kuilinda, kuitetea na kuisimamia misingi yake, hata kama gharama ya kufanya hivyo ni kubwa kwa chama. Endapo kwa kuanzia vyama vyote vingedumisha hili, siasa za Tanzania zingeweza kuwa na sura tofauti na sasa na kwa dhati viongozi wa kisiasa, hasa wa Chama kilichopo madarakani wangeweza kuwa mfano na kioo cha jamii. Big Up Chadema...!

Hapo kwenye red; Karibu sana ndugu. Kwa yeyote mwenye fikra huru na bila kufungwa na itikadi, hakika umeanza vyema post yako ya kwanza. Hapo kwenye green ndipo taasisi nyingi vikiwepo vyama vya siasa vinapo-fail simply kwa "kushindwa kusimamia misingi mikuu". Nakubaliana na wewe 100%.
 
Salaam wana JF wote. Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa michango mbalimbali humu jamvini. Natumia fursa hii kupiga hodi jamvini na kuwasalimu wana JF wooote. Naanza kwa kuupongeza uamuzi wa Kamati Kuu CHADEMA kuwavua Uanachama Madiwani 5 walioingia muafaka Arusha. Nakiri kuwa uamuzi huo ulikuwa mgumu lakini umetoa taswira halisi ya CDM katika kusimamia MISINGI yake mikuu, hata kama misingi hiyo inaweza kuhatarisha chama kupoteza viti hivyo katika uchaguzi wa marudio. Kwa maoni yangu, naamini na ya wengine wengi, uamuzi huo umetoa picha kwa kila mwana CDM, kiongozi na mwanachama kwamba CDM imejengwa katika misingi ya NIDHAMU, na ipo tayari kuilinda, kuitetea na kuisimamia misingi yake, hata kama gharama ya kufanya hivyo ni kubwa kwa chama. Endapo kwa kuanzia vyama vyote vingedumisha hili, siasa za Tanzania zingeweza kuwa na sura tofauti na sasa na kwa dhati viongozi wa kisiasa, hasa wa Chama kilichopo madarakani wangeweza kuwa mfano na kioo cha jamii. Big Up Chadema...!
KARIBU SANA umeanza vizuri keep it up .
...............CHADEMA waonyesha njia vyama vingine viige kufuata sheria zake na za nchi hii
 
Kitendo cha Chadema kuwafukuza uanachama Madiwani watano ni cha kuigwa na vyama vyote.

Na kitendo cha kuweka hadharani madhambi yao kitasaidia wananchi watambue walivyo wasaliti kwa maslahi binafsi.

Hongera Chadema!!!!!! Hongera Kamati ya Chadema!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom