Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Hujui lolote bila kiongozi mzuri hakuna katiba bora, uliona walivyofanya ya awali yakawa matusi na kejeli. Watu wenye fikra finyu kama zako hufundishwa hata kwa viboko nyau wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi mzuri chini ya katiba mbovu ni kazi bure, tulikuwa na Nyerere huku tukiwa na katiba mbovu tuliishia kuvaa midabwada