Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Rais Kikwete amewatahadharisha makada wa CCM kuachana na hatua za namna yoyote za kumpuuza au kumshambulia Rostam katika majukwaa ya siasa.
Mbali ya hilo, ili kuhakikisha jimbo hilo linaendelea kubakia mikononi mwa chama hicho, Kamati Kuu iliwazuia makada wake wawili, Nape na John Chiligati, kwenda katika kampeni za chama hicho za kusaka mrithi wa Rostam huko Igunga.
Source: Gazeti la Tanzania Daima la leo.
Intelligensia yao imesoma alama za nyakati kuwa wao ndio walioshinikiza RA kujiuzuru au?? kumbe CCM sasa ndio wameamka na kujua lipi jema na lipi lisilo jema au? Nadhani wananchi wa Igunga wanatakiwa kujifunza neno mabadiriko huja wakati wowote na watakiwa kuwa tayari kuyapokea mabadiriko