Huyu jamaa huwa anakurupuka bila kuelewa anachosema nafikiri siku anaanzisha thread hii hata rasimu yenyewe alikuwa hajaisoma vizuri, nasubiri nione nini Nape Nnauye atachangia kwenye CC.Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Kwanini CCM isishinde serikali ya Tanganyika hofu yao nini, au wanajua wameshalikoroga.Wadadisi na wafuatiliaji wa mambo walio ndani ya CCM, wanaeleza iwapo muundo wa Serikali tatu za Zanzibar, ya Tanzania Bara na ile ya Jamhuri ya Muungano kama zilizopendekezwa na Tume ya mabadiliko ya Katiba utaridhiwa, CCM kinaweza kuambulia ukuu wa Serikali ya Muungano pekee.
Wewe ni wa ajabu hebu soma tena nilipo bold uone ulichoandika, hivi wewe ukipata ulichokitaka hata kwa 80% aibu itatoka wapi tena, au ulikuwa unamaanisha ndivyo sivyo.
Hii Rasimu imekuwa kama kaburi la CCM inawafanya wa weweseke kama wameshikwa na degedege
mtajiju ccm.huo ndo mwanzo tu,tunashukuru anguko la ccm sasa tunaliona dhahiri.
kwa katiba hii hakuna mwanachama wa machadema hata mmoja mwenye sifa ya kugombea urais, sana sana wataishia kwenye uenyekiti wa kijijiccm wameshikwa pabaya,Kwanini CC isiombe repoti ya wanachama wao kutoka Wilayani na Mikoani na kuunganisha na kuona wanachama wametoa maoni gani badala ya Kamati ya Kikwete ya watu 15 tu ndio iamulie wanaccm wengine zaidi ya milion tano?.Ni ukosefu wa maadili na utawala bora.
akili yako ina mashaka makubwa ndani yake..angalia watembea na sumu wanavyoweweseka...hapo chini kwenye red ni kundi ambalo chadema hawalipendi kabisaRasimu ya katiba mpya inaonekana kuitesa sana Ccm kwa kuhofia ndo mwiba kwao,wameahidi kutoipitisha kwa 100%.nadhan kwa katiba hi endapo vurugu itatokea basi ni ccm watakuwa ndo waanzilishi hakika,wananch tusikubali ccm kutuandalia katiba ya nch yetu,Kamati kuu ya ccm kukaa jumatatu kujadili,mtajiju,
| ||
na janet josiah
|