Kamati iliyotoa Mapendekezo ya Kamati ya Msajili wa Vyama Kuhusu Katiba Mpya, Kisheria na Kimantiki ni Batili

Watu waliolewa madaraka huwa wanaona wana mamlaka yote, na wala hawaamini wana ukomo wa maisha yao hapa Duniani.

Hawaamini kama kuna kifo, ugonjwa wa kukufanya usijimudu, au hata kuondolewa kwenye madaraka.

Ndiyo maana wakati wote mambo yao yote reference yao huwa ni uchaguzi unaofuata, na huo unaofutaa huumini watatangazwa kuwa washindi, bila ya kujali wananchi watataka au hawataki.
Uzuri kifo kikifika kimefika ,Bila kujali we nani, cheo, au utajili wako , unafukiwa na nguo moja na lisanduku la gharama japo hizo ni mbwembwe tu, utaoza na kubaki mifupa tu,

Watu wskilijua hili na kulitafakari ,basi Dunia na Tz itakua Sehem salama Sana ,shida ni upofu tu
 
Ni kweli, ka mwaka 2015, tungempata Rais mwenye hekima na akili japo ya wastani, sahizi tusingekuwa hapa tulipo.

Najua ugumu anaoupata Samia. Anajitahidi kukwepa hili genge la wahuni waliojazwa bungeni na Magufuli lisihusike na katiba mpya.

Tunamwomba aweke wazi hili tatizo la kutokuwa na wabunge wawakilishi wa wananchi ili wananchi waamue ni namna gani Bunge la katiba litengenezwe bila ya kuhusisha hawa wahuni walioteuliwa na Magufuli kuwa wabunge.
Mkuu umenena ilyo kweli tupu...jamaa waliopo pale Bungeni ni kama genge liliopachikwa kwa ajiri ya kuabudu Miungu mtu na sio walochaguliwa na Wananchi. Wananchi tulitekwa na genge lile eti hilo hilo leo lishiriki kuunda Katiba yetu.?
 
Back
Top Bottom