Kamati iliyotoa Mapendekezo ya Kamati ya Msajili wa Vyama Kuhusu Katiba Mpya, Kisheria na Kimantiki ni Batili

Let’s just face it; Tanzanian opposition political parties are their own worst enemies!
Nakubaliana nawe kwa asilimia nyingi
Wapinzani hawana ujanja wa kubaini na kukwepa mitego ya CCM, partly because they are divided.
Ni kweli katika hili
Just in case some people don’t remember, ile task force iliyoundwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa iliundwa kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa katika mkutano wa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa uliofanyika jijini Dodoma Desemba 15 hadi 17, 2021.
Ni mmoja wa mitego uliyosema. Tulionya Msajili hana nia njema na Wapinzani na wala wasikae naye, watake kikao na serikali. Ni Chadema na NCCR Mageuzi waliokataa.
Kikao cha kwanza kikaahirishwa.

ACT Wazalendo kupitia TCD wakaingia mtegoni.
Ukubwa wa ACT ni chama kikuu cha Upinzania Zanzibar.
Kwa muundo wa siasa za nchi yetu ACT wana nguvu kisiasa hata kama ni kutoka Zanzibar.
ACT kukubali kikao kwa kujua akina Hamad na Mrema ni ''manunuzi'' ilikuwa kosa.

Kama ulivyosema CCM wanatumia Majoirty vote, sijui ACT na Zitto walifikiria nini

Hoja zako mbili hapo juu zina mantiki, kwanza, kukosa mbinu na pili kugawanyika.

Chadema, NCCR, ACT Wazalendo wangegomea task force ya Mkandala isingekuwepo

Hapa tuwe wakweli kuna makundi mawili yameuza 'dili''

ACT-Wazalendo na Zitto ambao hawana matumaini ya kupata chochote (Tume huru)

Wananchi wa Zanzibar waliopiga kelele na kutuvuruga miaka nenda rudi leo kama si wao

Siku uongozi utakaposhikwa na Mtanganyika, hatutaki kuwasikia akina Duni au Othaman.

Hatutakaa kusikiliza kelele za muungano au katiba mpya kutoka Zanzibar, waelewe.

Huu ni unafiki mkubwa sana wa Wazanzibar tuuseme! kipi kimebadilika enyi Wazanzibar?
Admittedly, vyama vichache vya upinzani, ikiwemo CHADEMA, vilikataa kuhudhuria huo mkutano, lakini ushiriki wa vyama vingine vya upinzani unalifanya zoezi la kukataa kuitambua hiyo task force kuwa gumu. Kumbuka, hakuna chama chenye kura ya turufu. Idadi kubwa ya vyama (majority) ikiridhia, imekula kwa wale wanaopinga!
Credit - NCCR ya Mbatia pia walikataa .

Waliouza ghala la silaha ni ACT-Wazalendo, hawa ndio tatizo lote lilipo.

Angalia picha za Ikulu au task force utaona wazi Zitto ana 'guilty' , ukweli utabaki pale pale ameuza Upinzani kama alivyouza Mrema.

Kwa hili ACT na Zitto wamechangia sana kuvuruga mchakato wa katiba
Unfortunately, tangu reintroduction of multiparty democracy nchini, vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa vyama vikuu vya upinzani vimeshindwa kabisa kuuongoza upinzani. Kimakosa, vimekuwa vikidhani kuwa havihitaji msaada wa vyama vingine vya upinzani. I don’t think it takes a PhD holder to understand that alienating other opposition political parties is a grave mistake!
Hapa kuna tatizo kidogo. Sidhani kama vyama havitahitajiani.

Tatizo ni kuwa Msajili wa vyama amesajili vyama vingi tu pengine kisheria lakini vyote vina malengo maalumu. Hamad Rashid anaweza kuwa na chama, kina wanachama wangapi?
Akina Mrema mara ni wajumbe wa sijui Parole, ana kipi?

ACT-Wazalendo watapinga nini ikiwa wana 'ving'ora' vinawasindikiza- Shaka H Shaka

Kuna manunuzi makubwa, ni ngumu sana kupata vyama vyenye misimamo.

Hatari ninayoinona ni moja, vyama vikubwa bado vina influence, kutumia mamluki kunaweza kuwa tatizo.

Nchi nyingi zilijaribu lakini kuna wakati 'mass'' inaamua na hapo ukubwa wa chama una umuhimu. Hivi hatujifunzi ya Kenya 2007? Hatujifunzi ya Arab spring?
 
waTanzania t
lakini dhambi aliyotufanyia JK kutuletea kichaa damage aliyoacha itatugharimu kwa muda mrefu ujao.

Kwahili mnaomlaumu sana mnamuonea maana yule kichaa yeye alitamka wazi katiba siyo kipaumbele chake
waTanzania tunaojitambua, tusiowanafiki, wazalendo tunataka KATIBA MPYA haraka iwezekanavyo.

Sio suala la rais, sio swala la vijikamati uchwara, sio swala la miaka tisa. Niliona clip fulani .... akihojiwa na Salim Kikeke wa BBC, akafura sana kuhusu suala la katiba.

Eti waTanzania walikuambia wewe wanataka katiba mpya?!, eti wanaodai katiba mpya ni watu wa mitandaoni etc. Kwa hili, yeye & co. walaanike sana.
 
Wananchi wa kawaida wa South Africa wamefaidika vp kwa kutolewa Thabo mbeki na Zuma?
Ni swali la kipuuzi. Kwako mtu wa kawaida kufaidika na uongozi mzuri unafikiria mpaka apewe pesa mkononi?

Ukiwa na uongozi mzuri, usiokubali rushwa, uongozi wenye maadili na maono, kutokana na uongozi mzuri, miradi ya umama ikatekelezeka vizuri na kwa kiwango kizuri, nafasi za ajira zikapatikana, bidhaa muhimu zikawafikia wananchi kwa bei nzuri, mtu wa kawaida hafaidiki?
 
waTanzania t

waTanzania tunaojitambua, tusiowanafiki, wazalendo tunataka KATIBA MPYA haraka iwezekanavyo. Sio suala la rais, sio swala la vijikamati uchwara, sio swala la miaka tisa. Niliona clip fulani .... akihojiwa na Salim Kikeke wa BBC, akafura sana kuhusu suala la katiba. Eti waTanzania walikuambia wewe wanataka katiba mpya?!, eti wanaodai katiba mpya ni watu wa mitandaoni etc. Kwa hili, yeye & co. walaanike sana.
Samia kwenye interview na Kikeke, alidhihirisha kupwaya kwa kiwango cha juu.

Hajui nafasi ya vyombo vya habari. Hajui kuwa anapohojiwa ndiyo wasaa sahihi wa kufafanua jambo aliloulizwa ili kuwatuliza wanaotaka majibu.
 
Mimi nimekata tamaa maana bunge lenyewe ni la kina babu Tale na covid 19 sasa hata tukiletewa bunge la katiba wabunge wenyewe si ndio hawa kina kibajaji MwanaFa na babu Tale?

Madhara ya kukabidhi nchi vichaa itaendelea kuligharimu Taifa letu kwa miaka mingi ijayo.

Mfano huyu mama ndio angepokea nchi kutoka kwa JK hii kazi ingekuwa rahisi sana, lakini dhambi aliyotufanyia JK kutuletea kichaa damage aliyoacha itatugharimu kwa muda mrefu ujao.

Kwahili mnaomlaumu sana mnamuonea maana yule kichaa yeye alitamka wazi katiba siyo kipaumbele chake, angalau huyu mama anajari utu lakini wa kulaumiwa ni hao wajasiriasiasa kina Zitto Kabwe na wahuni wenzake.
Wewe ni mpumbavu!
.
Niambie huyo mama yako, yule kichaa wako anamzuiaje kuanzisha huo mchakato kwa katiba mpya?


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia, kama anataka kufanya kazi yake vizuri, aache kila mara kuufikiria uchaguzi wa 2025. Aliwazuia wenzake wasifikirie uchaguzi wa 2025 ili abakie yeye pekee yake wa kufikiria uchaguzi wa 2025?

Aiweke akili na moyo wake huru, atapata heshima ya kudumu. Aamini kuwa anaweza kuchaguliwa kuwa Rais mwaka 2025, na anaweza asichaguliwe.

Anaweza kuwepo 2025, anaweza pia asiwepo (tunaoamini katika Mungu, tunatambua kuwa maisha yetu yapo mikononi mwa Mungu wakati wote, hatujui siku wala saa ya kuondoka katika Ulimwengu huu). Anatakiwa kufanya yaliyo mema sasa maana ndio wakati alio na uhakika nao.
Mlishangilia mkisema anawakomesha sukuma gang ngoja awanyooshe, na hivi mmeungana na ccm kumsifu ili kumkomoa marehemu, 2025 ndio atawatagisha mayai kabisa.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli, ka mwaka 2015, tungempata Rais mwenye hekima na akili japo ya wastani, sahizi tusingekuwa hapa tulipo.

Najua ugumu anaoupata Samia. Anajitahidi kukwepa hili genge la wahuni waliojazwa bungeni na Magufuli lisihusike na katiba mpya.

Tunamwomba aweke wazi hili tatizo la kutokuwa na wabunge wawakilishi wa wananchi ili wananchi waamue ni namna gani Bunge la katiba litengenezwe bila ya kuhusisha hawa wahuni walioteuliwa na Magufuli kuwa wabunge.
Si mnasema katiba hii inampa power ya kufanya atakacho? Sasa hiyo hofu yake kutoka kwa hilo genge ni ya nini?

Kama aliweza kumfokea ndugai akamuondoa kwenye nafasi yake na tukashangilia sana, sembuse genge tu?

Akiamua kulitoa hilo genge si tutaungana nae kushangilia kuwatoa wote kama ilivyokuwa kwa ndugai ili kazi iwe rahisi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mbwa hujui chochote hapa kaa kimya, utapata katiba vipi bila kupitishwa na wabunge?

Au umejitowa akili hujui bunge ni Magufuli ndio kateuwa Wabunge? kama mpaka Chadema walichaguliwa wabunge wa viti maalum hapo kuna bunge au kundi la mahoka?

Magufuli tutaendelea kumsema kwa miaka mingi ijayo na mbele ya safari tutataka haki ya kumshtaki marehemu, huyu ni shetani aliyeacha damage kubwa kwa Taifa ambayo itaendelea kutugharimu kwa miaka mingi ijayo.
Wewe mbwa, Samia akitaka katiba mpya hata kesho inakuja!

Wale wabunge hawana cha kufanya zaidi ya kupewa maelekezo tu kwamba pitisheni basi!

Kilichosababisha katiba ya Warioba kuishia njiani ni wabunge wa Magufuli?

Si wewe kila siku unabinua kiuno kwamba mitano tena kwa mama? Unamtenga vipi mama na ccm ile?

Msiwe wapumbavu kiasi hiki.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Ilikuwa lazima afe,ili Watanzania tupumue na kupata uelekeo ulio sahihi.

Sasa naona mapicha picha tena!!

Mungu atawanyoosha tena..
Ilikuwa lazima afe ili upumue ila bado unaona mapichapicha?

Huoni kama una shida kichwani?

Ndio maana ccm inawadharau sana

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi naamini màma Ana nia njema sana kwa watz, pia anajua uharibifu uliofanywa na mtangulizi wake, moja ya uharibifu mkuu ni kuharibu component ya bunge.

Anajua hata tukitengeneza katiba nzuri kwa wabunge hawa wasio wakilisha wananchi, haita pita.

Mtangulizi wake aliwachagua wabunge hawa ili wampigie kura za kukiuka ukomo wa kuwa madarakani kama ilivyo kwenye katiba.
 
Binafsi naamini màma Ana nia njema sana kwa watz, pia anajua uharibifu uliofanywa na mtangulizi wake, moja ya uharibifu mkuu ni kuharibu component ya bunge. Anajua hata tukitengeneza katiba nzuri kwa wabunge hawa wasio wakilisha wananchi, haita pita. Mtangulizi wake aliwachagua wabunge hawa ili wampigie kura za kukiuka ukomo wa kuwa madarakani kama ilivyo kwenye katiba.
Ndio maana mimi nawaita nyie mnaomtupia lawama Magufuli kwamba ni wapumbavu!

Hivi wale wabunge wa bunge la katiba wa kipindi cha Jk wote mliwapigia kura?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Huwezijadili swala lililoko jukwaani hadi mtaje Hayati?

Ongelea jambo lililoko mezani.
Hayati wako lazima atajwe, kwani ndo ametuletea tatizo kubwa nchi hii.

Ametuwekea wabunge wake nchi nzima kwa faida yake mpaka tunaahirisha katiba mpya mana hawa hawawezi ipitisha katiba yenyemaslahi kwa wananchi mana hawatokani na wananchi.

Jiwe tutamkumbuka kwa uovu huu, hatuachi.

Aliwaweka hawa ili wabadili sheria ya ukomo wa kuwa raisi nchini, ila Mungu fundi!
 
Mlishangilia mkisema anawakomesha sukuma gang ngoja awanyooshe, na hivi mmeungana na ccm kumsifu ili kumkomoa marehemu, 2025 ndio atawatagisha mayai kabisa.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Una uhakika au unabahatisha? Wapi nimewahi kusema Mama anawakomesha sukama gang? Neno Sukuma gang, hapa ndiyo naliandika kwa mara ya kwanza. Kabla yake sijawahi.

Mimi si member wa siasa za ushabiki. Sina mtu wa kumshabikia, bali naushabikia ukweli na weledi. Kila aliye mkweli, kila aliye wa haki, mwenye weledi na mkweli wa nafsi yake, nitasimama na huyo. Rais Samia akitenda vema, nitampongeza. Akipotoka nitamkosoa. Ndivyo alivyo kwa mwingine yeyote.

Ukosoaji mwingi unakuwa dhidi ya CCM, kwa sababu imejaza watu wa ajabu, watu wasiojitambua, wenye upeo duni na wanafiki. Ni wachache sana, au niseme ni nadra sana kumwona mwanaCCM anayesimama katika ukweli wa nafsi yake.
 
Umuhimu wa Katiba mpya unautazama kwa ubora wa uchumi au nguvu ya kuntoa Rais?
Good governance and rule of law.

Nguvu ya kumtoa Rais ni moja ya positive outcomes.

Aidha, binafsi siko kwenye kundi la wenye hulka ya kutamani kuishi chini ya tawala za kidikteta almuradi uchumi una “nafuu” - a twisted notion.
 
Wananchi wa kawaida wa South Africa wamefaidika vp kwa kutolewa Thabo mbeki na Zuma?
Nchi imezidi kuimarika kidemokrasia na kimaendeleo.

Afrika kusini wana uhuru wa kuandamana iwapo hawaafiki na jambo.

Kiuchumi wapo juu sana zaidi yetu.

Umeshasikia msauzi kaja kuzamia Tanzania kutafuta maisha?
 
Back
Top Bottom