Kwan unatakaje?Sitashangaa siku moja tukawa na katiba Mpya na kisha tukawa na Tume Huru ya Uchaguzi kwa mujibu wa Katiba Mpya, lakini mwisho wa siku tukafuata nyayo za jirani zetu Kenya.
Africa ni shiida kwakweli!!
Tume huru haiwezi kudondoka toka hewani