Umuzukuru
JF-Expert Member
- May 30, 2019
- 609
- 540
Hatari kwenye hip-hop za miaka hiyo zinazohusu mabif ya wasanii msanii alikua anangoja walau ngoma kutoka kwa mpinzani ikae kwa airtime hata wiki ndio na yeye anatoa yake kujibu mashambulizi(japo ilikua kibiashara pia)
Sasa siku hizi na roho mbaya naona inachangia kiasi Cha muziki kukosa taste na kugeuka kilinge sijui niseme Cha Nini aise
Sasa siku hizi na roho mbaya naona inachangia kiasi Cha muziki kukosa taste na kugeuka kilinge sijui niseme Cha Nini aise