Kamata mkwanja wa chap chap funga mbuzi ndani ya miez 6 tu hutalalama pesa ngumu

Me Kwa Uzoefu Wangu wa hao Wanyama Nasema Bora Ufuge Kuanzia Mbuzi 50 Majike Madume 20 Jumla = 70 Na Mfanyakazi Uwe Unamlipa Vizuri Uache Ubahili
Soko Upate haswa La Uhakika Maeneo ya Dar

Ukiingia Kichwa Kichwa Inakula Kwako Mbuzi Usifuge 10 itakula Kwako
 
NIKO LINDI TANZANIA WILAYA YA NACHJNGWEA MBUZI NI.DILI YAANI DEMAND NI KUBWA ILA HAKUNA MIFUGO KILO MOJA HUUZWA SH ELFU.TISA NA WILAYA NZIMA BITCHER YA MBUZI INAYOTAMBULIKA NI MOJA TU BAASI KWA MWENYE MTAJI ANAWEZA NISHIRIKISHA TUKAPIGA HELA.
IKUMBUKWE FURSA IPO ISIPOKUA MAZINGIRA YA KAZI YANGU YANANIBANA KUFUGA ILA KAMA KUPITA KUKAGUA TU WALIOCHINJWA INAWEZEKANA IMEAN MABUCHA ILA MAENEO KWA WANAOTAKA KUFUGA Ypo njooon tuwekeze tulime na korosho
Mashamba kwaajili ya kilimo bei gani mkuu kwa hekari kwa hko mtwara. Hasa korosho
 
Mashamba kwaajili ya kilimo bei gani mkuu kwa hekari kwa hko mtwara. Hasa korosho
mkuu sio mtwara ni lindi wilayani nachingwea,kuhusu shamba mkuu hutegemea na uhalisia wa mikorosho yenyewe yaani ni mingi kiasi gani?umri wa miti pia yaani mikinda na mizee na pia inautofauti wake.man lakini mkuu ata laki nne na kuemdelea wapata
 
NIKO LINDI TANZANIA WILAYA YA NACHJNGWEA MBUZI NI.DILI YAANI DEMAND NI KUBWA ILA HAKUNA MIFUGO KILO MOJA HUUZWA SH ELFU.TISA NA WILAYA NZIMA BITCHER YA MBUZI INAYOTAMBULIKA NI MOJA TU BAASI KWA MWENYE MTAJI ANAWEZA NISHIRIKISHA TUKAPIGA HELA.
IKUMBUKWE FURSA IPO ISIPOKUA MAZINGIRA YA KAZI YANGU YANANIBANA KUFUGA ILA KAMA KUPITA KUKAGUA TU WALIOCHINJWA INAWEZEKANA IMEAN MABUCHA ILA MAENEO KWA WANAOTAKA KUFUGA Ypo njooon tuwekeze tulime na korosho
Sawa sawa
 
NIKO LINDI TANZANIA WILAYA YA NACHJNGWEA MBUZI NI.DILI YAANI DEMAND NI KUBWA ILA HAKUNA MIFUGO KILO MOJA HUUZWA SH ELFU.TISA NA WILAYA NZIMA BITCHER YA MBUZI INAYOTAMBULIKA NI MOJA TU BAASI KWA MWENYE MTAJI ANAWEZA NISHIRIKISHA TUKAPIGA HELA.
IKUMBUKWE FURSA IPO ISIPOKUA MAZINGIRA YA KAZI YANGU YANANIBANA KUFUGA ILA KAMA KUPITA KUKAGUA TU WALIOCHINJWA INAWEZEKANA IMEAN MABUCHA ILA MAENEO KWA WANAOTAKA KUFUGA Ypo njooon tuwekeze tulime na korosho
Bado upo huko mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom